Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #861
Ziko kwenye addons ipi?Hizo supersport ktk simu yangu zinafunguka vizuri kuanzia saa 6 usiku
Link ziki wapi mkuunime update thread addons tatu nimeziweka link zake, nimezitest mwenyewe zinafanya kazi
-DNA TV
-PHOENIX
-ISRAEL LIVE TV
juu kwenye threadLink ziki wapi mkuu
Wana JF mie nimeshindwa kudownload KODI kwenye Windows phone yangu (Nokia XL Dual) naomba msaada wenu wadau, lakini pia kwa Receiver ambayo ina IPTV option nawezaje kuongeza chanel ambazo sio pre installed? Msaada tafadhali!
ume update simu yako hadi latest version yaani android 4.3/4.4?Mimi Samsung s3 imegoma ku install kodi msaada pls chief mkwawa.
Ina 4.1.2ume update simu yako hadi latest version yaani android 4.3/4.4?
Ina 4.1.2
Naomba nipe procedure za ku update au kama kuna link hiyo ni direct niende.
Tupe procedures za ku update mkuu.ume update simu yako hadi latest version yaani android 4.3/4.4?
nenda setting then about then software updatesTupe procedures za ku update mkuu.
nenda setting then about then software updates
umeroot simu ndio maana
Hebu toa details zake ili wale wasiojua waelewe vizuri
Kwa Anayehitaji haya mabox ani pm bei ni laki moja tu
Hii cm niliinunua kwa mtu, basi atakuwa alii root. Cwezi kuirejesha katika hali yake.umeroot simu ndio maana