Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #941
pc haihitaji app just right click then chagua new then text document, kwa simu nimeandika app hapo juu tumia es file explorerHili file la text unatengenezea kupitia simu au pc? Application gani natumia kutengenezea?
umeeka nini kwenye mx? usiposema kitu ulichofanya inakuwa ngumu kujua umekosea wapiKwangu imekataa kwenye MX player hata kwenye kodi kwa kutumia playlist loader imekataa
Thanks mkuu es file explorer nilishindwa itumia. so nikatumia file manager nyingine ipo playstore. Na mwanzo nilikuwa nashindwa kutengeneza text file hii nikatumia note pad nayo ipo playstore.pc haihitaji app just right click then chagua new then text document, kwa simu nimeandika app hapo juu tumia es file explorer
Thanks sana kaka kwa kunipa darasa hii kitu nilikuwa natamani sana nikawa najiuliza unawezaje kuziweka tv zote na ukatengenezea file. I solute you..God bless youpc haihitaji app just right click then chagua new then text document, kwa simu nimeandika app hapo juu tumia es file explorer
Mnisaidie na mimi jaman nimedownload kodi na pia kuinstal configuration ipt inasoma chanel 84 but sky sport,bin sport na zingine za michezo hazifunguiThanks sana kaka kwa kunipa darasa hii kitu nilikuwa natamani sana nikawa najiuliza unawezaje kuziweka tv zote na ukatengenezea file. I solute you..God bless you
Hapo mwishoni weka hivi 830,.m3u8Http://ec54.Ott.bzdv.net/stream.195,341,830,m3u8 niliweka link hii kwenye MX player na vlc ikagoma kufunguka niliweka kwenye network stream
Mimi naangalia vizuri kabisa ITV kupitia vlc hapo mwishoni usipoweka nukta huwezi kuangalia kamweeee wewe weka kama nilivyo kuelekeza utanipa majibu...[emoji117] 830,.m3u8Unavyoiona mwisho ndio iko hivyo 830,m3u8
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ila na wewe mbishi fuata nilivyokuelekeza..Bila nukta halo huwezi ona ITVUnavyoiona mwisho ndio iko hivyo 830,m3u8
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hahaha mzee uludodi fanya yako achana naye huyu bwana. Nadhani Anashindwa kutofautisha nukta ( . ) na mkato (,)Ila na wewe mbishi fuata nilivyokuelekeza..Bila nukta halo huwezi ona ITV
braza tumia hata kboko tu safi sanaIla na wewe mbishi fuata nilivyokuelekeza..Bila nukta halo huwezi ona ITV