ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nadhani ni ushauri tu,ili tuinuke ki soka kuna umuhimu wa kila Wilaya nchini kuweka mikakati ya maksudi kuliendeleza soka letu nasi angalau tupande viwango vya Fifa siku zijazo
Kwa kuanza Wilaya ya kinondoni wameshaonyesha mfano,wana timu yao ambàyo inacheza ligi kuu ya Nbc...sasa basi Wilaya zingine zote ziige mfano huo ikiwa pamoja na kutengeneza timu mbili ya wanaume na wanawake waweke na shule pia ya soka "academy"..
Hili litainua hamasa kwa vijana wengi kujitoa katika mchezo huu na ikibidi michezo mingine,haya wameyafanya mataifa ya ulaya na kufanikiwa sana.
Na kwa baadae hizo timu za Wilaya zinakuja toa combine nzuri na kupata timu ya mkoa..ifikapo mapumziko ya ligi kuu kufanyike michuano ya timu za mikoa ili kumpata bingwa wa nchi.
Kwa kufanya hivi nina imani kubwa mbali ya kuibua vipaji kiwango chetu cha soka kimataifa kitakua.
Nawasilisha.
0716399767.
Kwa kuanza Wilaya ya kinondoni wameshaonyesha mfano,wana timu yao ambàyo inacheza ligi kuu ya Nbc...sasa basi Wilaya zingine zote ziige mfano huo ikiwa pamoja na kutengeneza timu mbili ya wanaume na wanawake waweke na shule pia ya soka "academy"..
Hili litainua hamasa kwa vijana wengi kujitoa katika mchezo huu na ikibidi michezo mingine,haya wameyafanya mataifa ya ulaya na kufanikiwa sana.
Na kwa baadae hizo timu za Wilaya zinakuja toa combine nzuri na kupata timu ya mkoa..ifikapo mapumziko ya ligi kuu kufanyike michuano ya timu za mikoa ili kumpata bingwa wa nchi.
Kwa kufanya hivi nina imani kubwa mbali ya kuibua vipaji kiwango chetu cha soka kimataifa kitakua.
Nawasilisha.
0716399767.