Kila Yanga wakifungwa mtu maarufu anatoka jela

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,904
Reaction score
4,902
*Hivi mmegundua kwamba Sasa hivi kila YANGA wakifungwa basi kuna mtu maarufu anatoka gerezani... walifungwa na Mbao Babu seya na mwanaye wakatoka gerezani, wakapigwa na prisons Sugu akaachiwa... Jana wamepigwa na mtibwa... Leo lulu out*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo inaonekana wewe unashangilia kufungwa kwao? subiri waje wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…