johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mambo yanaenda kwa kasi sana.
Vinara wa mbwembwe za kisiasa na lugha yenye lafudhi mwanana ndani na nje ya CCM Prof Kabudi na komredi Polepole wako kimya sana.
Jamani muwe mnajitokeza kwenye forum mbalimbali tusije tukawasahau 2025.
Nawatakia Pentecoste yenye baraka.
Vinara wa mbwembwe za kisiasa na lugha yenye lafudhi mwanana ndani na nje ya CCM Prof Kabudi na komredi Polepole wako kimya sana.
Jamani muwe mnajitokeza kwenye forum mbalimbali tusije tukawasahau 2025.
Nawatakia Pentecoste yenye baraka.