Ila umewaza mbali sana. Hivi waheshimiwa wale watoa macho na wataalamu wa hesabu za kuongeza na kwenda na moja kichwani kwa nini hawasikiki? Watu waliowahi kupewa ndege kwenda Madagascar kuchukua chupa 8 za juice Leo ziiii kimyaaa? Wazee wa Mavi8 Leo hawasikiki? Mungu fundi haki ya Nani!!!!