Umean those vipeperushi vimetokea Tz
cheap propaganda aganist rao, to some of us he is deity..na pwani tuko tayari..
Definitely these are Jubilee propagandists capitalizing on Raila's inflammatory statement, but I agree with you might not be as worse as 2007/8 since the hot-spot are not as charged as they were back then. But I am sure as hell we will experience pockets of violence if this trend is not curtailed earlier, there will be lose of Kenyans lives in some areas, politicians are devils.
Who in Kenya writes a threat in Swahili??
[emoji26][emoji19]...am kisii and am not buying this besides
There are 7mn Kisii in Kenya
23mn Kikuyus, and about 11mn Kales Masaais arent even 1mn so this is a load of BS TBH!
mungiki chieth! cheza chini, you and your tribesmen are just mere useless scum..Pwahaha...kweli huyo kamungu kenyu bure kabisa. kamungu kenye kila siku yualia ameibiwa kura. Endeleeni tu kumwabudu.
mungiki chieth! cheza chini, you and your tribesmen are just mere useless scum..
Pwahaha...Wakabila nyinyi. Kwako mluhya ni mtu wa maana tu anapomwinamia hako kamungu kenyu ka uwongo. Mluhya anayefikiri tofauti na kukataa mambo ya Ojinga ni useless scum. Halafu mnakuja kutuambia hapa eti we want to unite the country. Raila hatawahi kuwa Rais. Endeleeni tu kumwabudu hako kamungu kenyu kenye 2013 kalisema hako ni Moses. Sasa kamekuwa Joshua na 2022 katakuwa Samson akipigana na wafilisti. Kamungu bandia. 😛😛😛
mungiki chieth! cheza chini, you and your tribesmen are just mere useless scum..
Duh wadau mnakokwenda huko sio kabisa, 1academ sio kila anayemponda Raila ni Mkikuyu, na sio kila anayemuunga rais Uhuru mkono ni Mkikuyu, huko nje kuna watu wengine wa makabila mengine kama huyu hapa MwendaOmo ambao sio wakikuyu lakini hawaendani na Raila. Hivyo mkiwajibu, sidhani ipo haja ya kuunganisha na Wakikuyu.
Nina uhakika kuna jinsi mtu anaweza kuwa mfuasi wa Raila bila kuwa na chuki, maana ifahamike tukinyukana au kikinuka tutaumia sote, tutachinjana sote, na nchi itasambaratika na kuwa kama Somalia ambapo adui hajulikani ni nani, maana wote kabila moja, dini moja lakini kila uchao mnyukano.
Matamko kama hayo aliyatoa Raila ya kusema kila mtu abaki kwao, ajue yanaweza kuwaponza hata watu wa kabila lake maana na wao pia wamezagaa, hivyo ni vizuri akahubiri utengamano. Ifahamike majirani wetu wamesubiri kama fisi kuona damu ikimwagika Kenya, hebu ona walio 'like' hilo tamko.
okay kwa heshima zako mkuu, i ll keep it civil, just for some of us this country's politics immotive and some of us get emotional, yaani sizipendi kabisaa! acha niendelee na mfungo wangu, ntavuruga swaum bure tu..alamsikiDuh wadau mnakokwenda huko sio kabisa, 1academ sio kila anayemponda Raila ni Mkikuyu, na sio kila anayemuunga rais Uhuru mkono ni Mkikuyu, huko nje kuna watu wengine wa makabila mengine kama huyu hapa MwendaOmo ambao sio wakikuyu lakini hawaendani na Raila. Hivyo mkiwajibu, sidhani ipo haja ya kuunganisha na Wakikuyu.
Nina uhakika kuna jinsi mtu anaweza kuwa mfuasi wa Raila bila kuwa na chuki, maana ifahamike tukinyukana au kikinuka tutaumia sote, tutachinjana sote, na nchi itasambaratika na kuwa kama Somalia ambapo adui hajulikani ni nani, maana wote kabila moja, dini moja lakini kila uchao mnyukano.
Matamko kama hayo aliyatoa Raila ya kusema kila mtu abaki kwao, ajue yanaweza kuwaponza hata watu wa kabila lake maana na wao pia wamezagaa, hivyo ni vizuri akahubiri utengamano. Ifahamike majirani wetu wamesubiri kama fisi kuona damu ikimwagika Kenya, hebu ona walio 'like' hilo tamko.
Tch!Umean those vipeperushi vimetokea Tz
Jibu sawa kabisa MK254!Duh wadau mnakokwenda huko sio kabisa, 1academ sio kila anayemponda Raila ni Mkikuyu, na sio kila anayemuunga rais Uhuru mkono ni Mkikuyu, huko nje kuna watu wengine wa makabila mengine kama huyu hapa MwendaOmo ambao sio wakikuyu lakini hawaendani na Raila. Hivyo mkiwajibu, sidhani ipo haja ya kuunganisha na Wakikuyu.
Nina uhakika kuna jinsi mtu anaweza kuwa mfuasi wa Raila bila kuwa na chuki, maana ifahamike tukinyukana au kikinuka tutaumia sote, tutachinjana sote, na nchi itasambaratika na kuwa kama Somalia ambapo adui hajulikani ni nani, maana wote kabila moja, dini moja lakini kila uchao mnyukano.
Matamko kama hayo aliyatoa Raila ya kusema kila mtu abaki kwao, ajue yanaweza kuwaponza hata watu wa kabila lake maana na wao pia wamezagaa, hivyo ni vizuri akahubiri utengamano. Ifahamike majirani wetu wamesubiri kama fisi kuona damu ikimwagika Kenya, hebu ona walio 'like' hilo tamko.
Safari hii mkipigana Magu hana muda wa kusuluhisha yeye anaenda Uganda na Rwanda kusainisha mradi wa SGR na kuwaacha wafu wazikane! PEV 2007 Moi na familia yake na other wealthy walijisitiri Arusha Ngurdoto kama refugees. So u can guess what will the hotel owners around Arusha be wishing...?[emoji23]Propagandist will take advantage of that video and put up flares, here you can't tell who did this, could be Jubilee or NASA or anyone
Probe launched over hate leaflets circulated in Kajiado on Saturday night