Kile Ambacho Raila Anatafuta (Video)

Ukabila Kenya utawatokea puani.. Mpeni nchi Raila
 
And my opinion is, Africa was not in position to adopt the so called democracy.
 
cheap propaganda aganist rao, to some of us he is deity..na pwani tuko tayari..

Pwahaha...kweli huyo kamungu kenyu bure kabisa. kamungu kenye kila siku yualia ameibiwa kura. Endeleeni tu kumwabudu.
 

I don't think it is that definite. Different people will always benefit from Chaos. I'm dure Raila is one of them. However, it could also be an effort by jubilee supporters to capitalize on Raila's careless remarks.
 
Who in Kenya writes a threat in Swahili??

[emoji26][emoji19]...am kisii and am not buying this besides
There are 7mn Kisii in Kenya
23mn Kikuyus, and about 11mn Kales Masaais arent even 1mn so this is a load of BS TBH!

Is this where NASA is getting 10 Million votes? 7 Million Kisiis, 23 Million Kikuyus. Are you saying that Kikuyus are more than 50% of the population?
 
mungiki chieth! cheza chini, you and your tribesmen are just mere useless scum..

Pwahaha...Wakabila nyinyi. Kwako mluhya ni mtu wa maana tu anapomwinamia hako kamungu kenyu ka uwongo. Mluhya anayefikiri tofauti na kukataa mambo ya Ojinga ni useless scum. Halafu mnakuja kutuambia hapa eti we want to unite the country. Raila hatawahi kuwa Rais. Endeleeni tu kumwabudu hako kamungu kenyu kenye 2013 kalisema hako ni Moses. Sasa kamekuwa Joshua na 2022 katakuwa Samson akipigana na wafilisti. Kamungu bandia. 😛😛😛
 

mungiki chieth! cheza chini, you and your tribesmen are just mere useless scum..

Duh wadau mnakokwenda huko sio kabisa, 1academ sio kila anayemponda Raila ni Mkikuyu, na sio kila anayemuunga rais Uhuru mkono ni Mkikuyu, huko nje kuna watu wengine wa makabila mengine kama huyu hapa MwendaOmo ambao sio wakikuyu lakini hawaendani na Raila. Hivyo mkiwajibu, sidhani ipo haja ya kuunganisha na Wakikuyu.

Nina uhakika kuna jinsi mtu anaweza kuwa mfuasi wa Raila bila kuwa na chuki, maana ifahamike tukinyukana au kikinuka tutaumia sote, tutachinjana sote, na nchi itasambaratika na kuwa kama Somalia ambapo adui hajulikani ni nani, maana wote kabila moja, dini moja lakini kila uchao mnyukano.

Matamko kama hayo aliyatoa Raila ya kusema kila mtu abaki kwao, ajue yanaweza kuwaponza hata watu wa kabila lake maana na wao pia wamezagaa, hivyo ni vizuri akahubiri utengamano. Ifahamike majirani wetu wamesubiri kama fisi kuona damu ikimwagika Kenya, hebu ona walio 'like' hilo tamko.
 

Acha kutusingizia, ni mwendawazimu pekee anayetaka kuona damu ikimwagika Kenya. Nchi yenu mtaivunja wenyewe na wala sio wageni.

Waambieni wagombea wenu wanadi sera, kuhubiri ukabila ni dalili za kuishiwa sera.
 
Nyie wakenya hebu tulieni bana mkipigana huko mnatupa shida na sisi wa tz tulokuwa na wakwe zetu hukoo
 
Kenya inabdi uwepo mkakati wa kuwapandikizia Rais Mtanzania awatawale miaka mitano, avunje ukabila. Mtabaki salama.
 
okay kwa heshima zako mkuu, i ll keep it civil, just for some of us this country's politics immotive and some of us get emotional, yaani sizipendi kabisaa! acha niendelee na mfungo wangu, ntavuruga swaum bure tu..alamsiki
 
Kenya mkishindwa kujiongoza Watz tutakuja kuwaongoza..Your full of big talk about unification but inside ur heaert mmejaa ukabila, shame on you. Mnaitia aibu East Africa kwa mahubiri yenu ya Ukikuyu, Uluo sijui na madudu gani.
 
Jibu sawa kabisa MK254!
 
Propagandist will take advantage of that video and put up flares, here you can't tell who did this, could be Jubilee or NASA or anyone
Probe launched over hate leaflets circulated in Kajiado on Saturday night
Safari hii mkipigana Magu hana muda wa kusuluhisha yeye anaenda Uganda na Rwanda kusainisha mradi wa SGR na kuwaacha wafu wazikane! PEV 2007 Moi na familia yake na other wealthy walijisitiri Arusha Ngurdoto kama refugees. So u can guess what will the hotel owners around Arusha be wishing...?[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…