Kile kiandishi uchwara cha Ghana kimepigwa ban nini na Instagram?

Kile kiandishi uchwara cha Ghana kimepigwa ban nini na Instagram?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ni kilichokuwa kikijiita Micky junior.

Naona wajuba wamesepa naye na mitandao yake haipo hewani tena na haijulikani kafanyaje.

Ikumbukwe, mara zote kalikuwa kakitumiwa na Babra kuiharibu image ya Yanga makusudi.
 
Ni kilichokuwa kikijiita Micky junior.

Naona wajuba wamesepa naye na mitandao yake haipo hewani tena na haijulikani kafanyaje.

Ikumbukwe, mara zote kalikuwa kakitumiwa na Babra kuiharibu image ya Yanga makusudi.
Picha
 
Huyu huku tweeter amejaa tele
Ana wafuasi sawa na timu yako ya utopolo.
 
Back
Top Bottom