Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Ni kilichokuwa kikijiita Micky junior.
Naona wajuba wamesepa naye na mitandao yake haipo hewani tena na haijulikani kafanyaje.
Ikumbukwe, mara zote kalikuwa kakitumiwa na Babra kuiharibu image ya Yanga makusudi.
Naona wajuba wamesepa naye na mitandao yake haipo hewani tena na haijulikani kafanyaje.
Ikumbukwe, mara zote kalikuwa kakitumiwa na Babra kuiharibu image ya Yanga makusudi.