Kilevi chamtia matatani Tiger Woods!

Drink and drive imemweka pabaya nafikiri golf sasa basi
 
Huyu toka aachwe na mkewe ni mabalaa tupu yanamuandama.
 
leo ndio nimemuona akiwa hajavaa kofia.
 
Jamaa mtaalam wa kugonga miti na nguzo za road. Yeye always hizo hagongagi gari au mtu barabarani noo.. Duuu.
 
Huyu jamaa tangu aumbuke kwa kupata ajali akifuata mchepuko wake hajapaki salama kabisa, sson atazama kwenye unga asipojisalimisha kupata ushauri nasaha, pole zake..
 
Mwanaume siku zote ni victim mkubwa sana akiachwa na mwanamke ambaye bado yupo moyoni mwake ni wachache wanaoweza ku-handle hali hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…