Kili na Neema, Wamaasai wanaotengeneza umashuhuri kwa kasi sana Ulimwenguni

Kili na Neema, Wamaasai wanaotengeneza umashuhuri kwa kasi sana Ulimwenguni

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Wamaasai wanaotengeneza umashuhuri kwa kasi sana Ulimwenguni, lakini hapa Bongo kama watu hawana habari nao kabisa,

Wanaweza kutoboa kimaisha mambo yakiendelea kama yalivo, ila huyu kijana wakiume mda mwengine kwenye hizi interviews namuhisi kama ameanza majivuno, kwa kweli bado ni mapema sana kuwa hivo inaweza kumuharibia.



 
IMG_3900.png

Mitandao bana ya ajabu sana,huyu ndugu katokea ticktok huko huko,sababu tu kaja na kitu tofauti.kwa sasa ni mtu anapiga story na akina ibrahimovic,na itajiri wake ni zaidi ya tillion za ulanzi 2.tokea familia duni africa magaribi huko mpaka dunini kwa washua.

Hawa wamasai sitashangaa kesho na keshokutwa kujikuta wanaishi maisha tofauti labisa,sema dada mtu lazima ataangukia kwenye mikono ya vijana wa hovyo.
 
View attachment 2038636
mitandao bana ya ajabu sana,huyu ndugu katokea ticktok huko huko,sababu tu kaja na kitu tofauti.kwa sasa ni mtu anapiga story na akina ibrahimovic,na itajiri wake ni zaidi ya tillion za ulanzi 2.tokea familia duni africa magaribi huko mpaka dunini kwa washua.

hawa wamasai sitashangaa kesho na keshokutwa kujikuta wanaishi maisha tofauti labisa,sema dada mtu lazima ataangukia kwenye mikono ya vijana wa hovyo.

Hii dunia ina mambo ya ajabu sana, yani mambo ya kipuuzi ndio yamegeuzwa mambo ya msingi ya watu kushabikia, kupiga pesa na kutengezea umashuhuri.
 
Back
Top Bottom