Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Kuna baadhi ya vitu hata uwe umzalendo kiasi gani,ila facts zikigoma ujue hamna nanma. Kwa kili Stars mbele ya Uganda Facts zinagoma kila idara. Wachezaji wetu hawafungi,hawamiliki mpira,hawana skills za kutosha,hawawezi kudrible(Wachache ndo afazari), Hawana uelewano,Hakuna viungo wabunifu, na pia hawana nguvu alafu bado mtu uwe na matumaini mbele ya Uganda iliyo fiti kila idara!! Kocha mwenyewe hana cha ziada. Nitakua wa mwisho kuamini Kili.Stars itashindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app