Kilicho msababisha Joyce kung'ata ulimi wa mpenzi wake ni "orgasm"



Duh, mwana nimeikubali commnt yako) u ril scientist)
 
hapo ndo ninapochukia sheria za tanzania azitendi haki kabisa yani mke kafumaniwa tena kwa aibu alafu anataka wagawane mali pasu pasu how inauma inakera sana sheria zetu zinamapungufu sana
 
mh.. hapo we acha tu... wengine tunacheze makofi, makucha na mangumi mpaka basi...!baada ya hapo eti anasema hajui alokuwa anafanza wakati huo(huku nwe waugulia kipondo)...Yote mambo tu lakini!!!!!!
 
Dunia tambara bovu. Kua mwanangu uyaone!!!
 
mwanamke hana adabu nyie mnamsifu! hakuna alikuwa hafikishwi wala nni! pengine alikuwa akifikishwa na pesa ya kwenda kusoma juu na kamtenda mumewe akamudhiri kwenye vyombo vya habari!
 
Huyo jamaa nae hajamtendea Joyce haki. Kilichomfanya akatangaze ameng'atwa ulimi wakati alijua kuwa anaiba na maufundi yake ndio yalimponza ni nini!!!

Angeuchuna tu na maumivu yake.
 
mimi naona huyo joyce alikua hafikishwi vizuri na mmewe.Inaonekana anahitaji mtu ambae ni mtundu kweli kweli. Inaonekana huko Tanga watu kwa majambozi ni hatari kwelikweli.
 
Haya ni makubwa mno, ila naona kuna tatizo ndani ya ndoa hasa kwa mwanaume, kwa mujibu wa maelezo hayo ingawa upande wa pili ulikosa uwazi.Maamuzi yaliyofikiwa na afiki. Nilitegemea huyu mume kuwa wa kwanza kung`atwa ulimi kabla ya huyu wa TA, thats y i found him guilty on this matter. Love is an art, just get into the core of it and be part of it.
 
Duh labda alipata zile za kitafiti, doubledouble maana ake huwezi kujua. maana nasikia unaweza hata kupata mara kumi. sasa ile ya kumi lazima ung'ate popote aisee, duh bidada kaaibika sana jaman
 

Mnamkumbuka huyu dada ?
 
mi nling'atwa skio, lakini sikua nafanya mapenz, ni romance
 
mh.. hapo we acha tu... wengine tunacheze makofi, makucha na mangumi mpaka basi...!baada ya hapo eti anasema hajui alokuwa anafanza wakati huo(huku nwe waugulia kipondo)...Yote mambo tu lakini!!!!!!

uwii nimejkuta nacheka gafla..speakn frm xprnce,hahah..
Kumbe wengne na mabandage asubuh asubuh kumbe ucku alichezea kifinyo cha haja..mzuka bana hahah duh kaaz kwel kwel
 
Ha ha ha ah huyo bana ikimpata ni kwenda na uma tu by the time anaanza kupagawa yu just insert the fork in her very buccal cavity......akiutafuna atakuwa kweli chizi mapenzi BUT if she wont then alikusudia kumtia mwana kilema


Ama kweli malipo dunian kwa mungu ni hesabu........................ukware ni noumaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…