Kilichoanguka Kenya ni "Rocket Separation Ring" au Pete ya Kutenganisha Roketi

Kenyaa waongoo tu,wanatafuta kiki ya Dunia ilaa imefelii naonaa. Vipuuzi kweli ndio maana vinadanganyaga Kilimanjaro Ipo Kenya,et hata Mzizee ni mkenyaa.
 
Unahusu ufisadi wa mama samia
Kama kuna mtu anafikiria kuwa anaweza kumchafua RAIS Samia kwa namna yoyote ile kwa viuzushi na umbeya basi atakuwa anahangaika na kujihangaisha tu.Maana mamilioni kwa mamilioni ya watanzania wanafahamu uzalendo,uaminifu na uadilifu mkubwa alionao Rais wetu Mpendwa Mama Samia.
 
Ata sijaelewa ila poa..


...Ni Hayo Tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…