Yanga wanahitaji point 1 tu kuwa mabingwa, hawana haja ya kukamia wala presha, Kesho kuna uwezekano mkubwa wakatangazwa mabingwa.
Nguvu zote zihamishiwe F,A. ikibidi kina Max, Aucho, Diarra, Yao, n.k. wawahi Arusha kujiandaa na nusu fainali ya FA dhidi ya Ihefu
Kwa sasa kuhusu ligi kuu yafaa kina Skudu, Fredi, Mkude, Msheri, n.k. wapewe nafasi ya kumaliza ligi kuu.
kwenye ligi kuu iwe ni kumsaidia kadri iwezekanavyo Aziz Ki afunge magoli, walau kila mechi afunge moja
Nguvu zote zihamishiwe F,A. ikibidi kina Max, Aucho, Diarra, Yao, n.k. wawahi Arusha kujiandaa na nusu fainali ya FA dhidi ya Ihefu
Kwa sasa kuhusu ligi kuu yafaa kina Skudu, Fredi, Mkude, Msheri, n.k. wapewe nafasi ya kumaliza ligi kuu.
kwenye ligi kuu iwe ni kumsaidia kadri iwezekanavyo Aziz Ki afunge magoli, walau kila mechi afunge moja