LGE2024 Kilichofanyika Geita Kwenye Zoezi La Kuandikisha Wananchi Ni Matumizi Mabaya Ya Rasilimali Za Umma, Viongozi Wawajibishwe

LGE2024 Kilichofanyika Geita Kwenye Zoezi La Kuandikisha Wananchi Ni Matumizi Mabaya Ya Rasilimali Za Umma, Viongozi Wawajibishwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tea Party

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2019
Posts
658
Reaction score
1,133
Mimi ni mmoja wa makada wa CHADEMA ambao tulikuwa tunasimamia uchaguzi mkoani Geita eneo la NMC

Kama moja ya wasimamizi wa uchaguzi huo, mara baada ya majina kubandikwa nimegundua udanganyifu mkubwa uliofanywa ikiwemo uwepo wa wapiga kura hewa takriban 300.

Orodha ya wapiga kura walioandikishwa ambao walikuwa ni 647 ilikuwa hairandani na majina yaliyobandikwa ambayo ilikuwa ni. 947.

Binafsi nimeenda kwenye kata ya Kasamwa na Kanyala kulalamikia watendaji wa kata kuhusu mchakato ulivyofanyika kiwizi wizi lakini hakuna majibu yanayoeleweka.

Soma pia: Baadhi ya Halmashauri za mkoa wa Geita zinawaibia watumishi posho zao kwenye uchaguzi, TAMISEMI fuatilieni

Ninachoambiwa ni kuwa inabidi nipeleke mapingamizi. Sasa najiuliza kama walijua kuna masualaya kuweka mapingamizi, kwanini walikuwa wanatuweka mawakala?

Wizi na udanganyifu uliofanyika ni dharau na matumizi mabovu ya kodi zetu ambazo sisi wananchi tunaipa serikali.

Tunaiomba TAMISEMI ifuatilie na kuwaajibisha wote waliohusika na wizi huu kuanzia Mkurugenzi ambaye anasimamia mpaka watendaji wa kata.
 
Ushindi wa CCM hautegemei kura za halali peke yake, hata marehemu huwa wanaipigia kura CCM.
 
Ni Uchafuzi mdogo, Uchafuzi Mkuu unakuja.
 
Mimi ni mmoja wa makada wa CHADEMA ambao tulikuwa tunasimamia uchaguzi mkoani Geita eneo la NMC

Kama moja ya wasimamizi wa uchaguzi huo, mara baada ya majina kubandikwa nimegundua udanganyifu mkubwa uliofanywa ikiwemo uwepo wa wapiga kura hewa takriban 300.

Orodha ya wapiga kura walioandikishwa ambao walikuwa ni 647 ilikuwa hairandani na majina yaliyobandikwa ambayo ilikuwa ni. 947.

Binafsi nimeenda kwenye kata ya Kasamwa na Kanyala kulalamikia watendaji wa kata kuhusu mchakato ulivyofanyika kiwizi wizi lakini hakuna majibu yanayoeleweka.

Soma pia: Baadhi ya Halmashauri za mkoa wa Geita zinawaibia watumishi posho zao kwenye uchaguzi, TAMISEMI fuatilieni

Ninachoambiwa ni kuwa inabidi nipeleke mapingamizi. Sasa najiuliza kama walijua kuna masualaya kuweka mapingamizi, kwanini walikuwa wanatuweka mawakala?

Wizi na udanganyifu uliofanyika ni dharau na matumizi mabovu ya kodi zetu ambazo sisi wananchi tunaipa serikali.

Tunaiomba TAMISEMI ifuatilie na kuwaajibisha wote waliohusika na wizi huu kuanzia Mkurugenzi ambaye anasimamia mpaka watendaji wa kata.
Mchengerwa aliambiwa ana kifua kipana. Kumfurahisha mamkwe... Hiki ndo amekifanya! Upishi wa takwimu👇🏿👇🏿
Tatizo wengi wanadhani the tyranny of numbers ni bahati mbaya!
20241024_063205.jpg

Kwamba watu wamepata shauku na wamejitokeza wengi kujiandikisha uchaguzi wa SM kuliko wakati wowote kwenye historia ya nchi hii!
Anyways, hili likipita 2025 tutajulishwa waTanzania wamejiandikisha kwa zaidi ya 50%.
 
Mimi ni mmoja wa makada wa CHADEMA ambao tulikuwa tunasimamia uchaguzi mkoani Geita eneo la NMC

Kama moja ya wasimamizi wa uchaguzi huo, mara baada ya majina kubandikwa nimegundua udanganyifu mkubwa uliofanywa ikiwemo uwepo wa wapiga kura hewa takriban 300.

Orodha ya wapiga kura walioandikishwa ambao walikuwa ni 647 ilikuwa hairandani na majina yaliyobandikwa ambayo ilikuwa ni. 947.

Binafsi nimeenda kwenye kata ya Kasamwa na Kanyala kulalamikia watendaji wa kata kuhusu mchakato ulivyofanyika kiwizi wizi lakini hakuna majibu yanayoeleweka.

Soma pia: Baadhi ya Halmashauri za mkoa wa Geita zinawaibia watumishi posho zao kwenye uchaguzi, TAMISEMI fuatilieni

Ninachoambiwa ni kuwa inabidi nipeleke mapingamizi. Sasa najiuliza kama walijua kuna masualaya kuweka mapingamizi, kwanini walikuwa wanatuweka mawakala?

Wizi na udanganyifu uliofanyika ni dharau na matumizi mabovu ya kodi zetu ambazo sisi wananchi tunaipa serikali.

Tunaiomba TAMISEMI ifuatilie na kuwaajibisha wote waliohusika na wizi huu kuanzia Mkurugenzi ambaye anasimamia mpaka watendaji wa kata.
Wizi na udanganyifu uliofanyika ni dharau na matumizi mabovu ya kodi zetu ambazo sisi wananchi tunaipa serikali.
 
Back
Top Bottom