Kilichofanyika jana katika usaili wa tume ya utumishi wa umma ni ubadhilifu

Kilichofanyika jana katika usaili wa tume ya utumishi wa umma ni ubadhilifu

Bravo247

Senior Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
119
Reaction score
263
Screenshot_20240513_010219_Brave.jpg

Jana zimefanyika interview mbalimbali nchini kwa kada tofauti kwa njia ya mtandao. Lakini mtandao ulisumbua, kuna watu hawakusubmit kazi zao wakaambiwa na wasimamizi kuwa kazi zao ziko ziko submitted.

Kuna watu walisubmit zikafail wakalog in wakapata muda wa kulog in wakakuta katika maswali 50 wamejibu 1. Kuna wengine maswali nusu nakadhalika!!!

Sitaki kuandika sana lakini mapungufu ni mengi mengine kama ukiwa kwenye mtihani huwezi kuona kama kompyuta yako iko kwenye mtandao ama imekutoa! Wengine timer ilikuwa imestuck wengine upande wa kushoto kuonesha saa ukiwa umestuck!!

Watahiniwa hawapewi muda wakujua hata wakale chakula mnawakalisha wameshinda njaa mpaka usiku!!!

Then leo jioni mnatoa majibu kama attachment inavyosema! Mapungufu ni mengi wengine wataelezea.

TUNAKARIBIA KUSTAAFU NA HATUNA AJIRA TUNASIKITIKA LAKINI TUTACHOKA SIKU MOJA!!!
 
Tatizo la jana linajulikana bora warudie kama wapo serious...Jana kazi kibao zimefeli.
 
View attachment 2988998
Jana zimefanyika interview mbalimbali nchini kwa kada tofauti kwa njia ya mtandao. Lakini mtandao ulisumbua, kuna watu hawakusubmit kazi zao wakaambiwa na wasimamizi kuwa kazi zao ziko ziko submitted.

Kuna watu walisubmit zikafail wakalog in wakapata muda wa kulog in wakakuta katika maswali 50 wamejibu 1. Kuna wengine maswali nusu nakadhalika!!!

Sitaki kuandika sana lakini mapungufu ni mengi mengine kama ukiwa kwenye mtihani huwezi kuona kama kompyuta yako iko kwenye mtandao ama imekutoa! Wengine timer ilikuwa imestuck wengine upande wa kushoto kuonesha saa ukiwa umestuck!!

Watahiniwa hawapewi muda wakujua hata wakale chakula mnawakalisha wameshinda njaa mpaka usiku!!!

Then leo jioni mnatoa majibu kama attachment inavyosema! Mapungufu ni mengi wengine wataelezea.

TUNAKARIBIA KUSTAAFU NA HATUNA AJIRA TUNASIKITIKA LAKINI TUTACHOKA SIKU MOJA!!!
Pole sana,
Serikali Sikivu imeskia na kuyachukulia kwa uzito unaostahili manung'uniko haya ya waTanzania 🐒
 
Fanya mambo mengine unajichelewesha bure kwa kazi ambazo hazipo!
 
Back
Top Bottom