Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Arusha kuna uwanja gani zaidi ya sheikh Amri Abeid?Tanzania ni moja ya nchi inayoongoza kujenga vitu chini ya kiwango mfano uwanja wa manungu wa mtibwa umefanyiwa marekebisho hata kuweka majukwaa ya watu elfu tatu imeshindikana hii ni aibu sana
Kuna ule uwanja wanatumia polis Tanzania uko Arusha inamaana mtibwa wamesindwa kujifunza kupitia ule uwanja walichofanya manungu ni kuweka ukuta tu yaani hamna maajabu
Hapo sijui ilikuwaje amekuja kutaja Arusha.Arusha kuna uwanja gani zaidi ya sheikh Amri Abeid?
Tatizo lako uangalii NBC premier league, ukitoa ushirika na uwanja wa Arusha Kuna uwanja wanatumia polis Tanzania ni mzuri kinomaHapo sijui ilikuwaje amekuja kutaja Arusha.
Kama ni Polisi Tanzania ni Uwanja wa Ushirika Moshi.
Tatizo lako uangalii NBC premier league, ukitoa ushirika na uwanja wa Arusha Kuna uwanja wanatumia polis Tanzania ni mzuri kinomaArusha kuna uwanja gani zaidi ya sheikh Amri Abeid?
Nadhan upo karatu ule uwanjaTatizo lako uangalii NBC premier league, ukitoa ushirika na uwanja wa Arusha Kuna uwanja wanatumia polis Tanzania ni mzuri kinoma
Ndo huo huo mzuri kinoma japokua ni mdogo swali langu lilikua inamaaa na mtibwa wameshindwa kufanya manungu ukawa vileNadhan upo karatu ule uwanja
Una uhakika huo uwanja upo arusha?Tatizo lako uangalii NBC premier league, ukitoa ushirika na uwanja wa Arusha Kuna uwanja wanatumia polis Tanzania ni mzuri kinoma
Fanya umemuelewa tu mkuu maana jiografia Ya nchi hii si kila mtu anaipata vizuri hasa mikoa kama manyaraUna uhakika huo uwanja upo arusha?
Nauhakika kivip nawakati nilishaona polis wakicheza msimu huu vs KMC acha uzwazwaUna uhakika huo uwanja upo arusha?
Ule ni uwanja wa mazoezi, sio wa kuchezea ligi kuu ya GSMKama MO Arena