Kilichofanywa na NHIF si Uungwana

Interview ilianza j3,j4,j5 then sku ya j5 makundi yalikuwa mawili kuna ambalo lilianza na kilingine likafata na maswali yale yale huku,lile kundi la pili walikuwa wamesimama mlangoni wanawasubiri watu!!!!!!!!!
Hawa jamaa walitaka kuwadhalilisha wasomi.
 

walitimiza wajibu na pia kutengeneza zengwe la posho
 
Jamani hii taarifa ni ya mwaka 2011 si ya mwaka huu 2012,Potezeeni haina dili!
 
Slogans ya ajira kwa bongo now inasema: Who you know and not what you know.

Ushapata jibu sasa?
 


Uko very right kaka, huo ni ushauri mzuri sana kwa wahusika ukishatuma we endelea na mingo zingine.Mimi niliwahi itwa kwenye interview baada ya hapo nikamfuata SECRETARY aliyenipigia simu kuniarifu kwamba nahitajika nikamuuliza ametoa wapi namba yangu akaniaonyesha VC yangu nilipigwa na butwaa.Mwanzoni nilifikiri kanyaboya nilipopokea simu ila aliponitolea CV nikamwambia Shkamoo.Wewe panda as much as you can iko siku mvua itanyesha ulipopanda wewe kwani Mungu hana hiyana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…