Kilichoikuta jana timu Simba ni matunda ya laana ya mashabiki

Kilichoikuta jana timu Simba ni matunda ya laana ya mashabiki

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau!

Kiukweli Simba wamevuna walichokipanda, siku zote kibri haifai katika maisha ya mwanadamu.

Hawa viongozi wa Simba wana midomo mirefu sana, alichowafanyia washabiki kwenye mechi yao na mtani kamwe washabiki hawawezi sahau hivyo walipaswa kuomba radhi kwa washabiki wao kabla ya mechi na Keizer Chief lakini kutokana na Kibri ya viongozi wao na msemaji wao wakaona washabiki ni wapumbavu mwishiwe laana imewaandama na kuwavaa wakapigwa mtungi goli 4 kwa Buyu.

Simba na Yanga punguzeni kibri, mna mikia mirefu sana kiasi ambacho mnadharau mpaka washabiki wenu, watu wamechoka na timu zenu za janja janaja azita upeleka popote mpira wa Bongo.

Ona sasa malipo ni hapa hapa duniani, haiwezekani mtu atembee kwa miguu toka Kigoma au Moro harafu anafika mnakimbia mechi ,laiti kama mngecheza mechi ya mtani ingewasaidia sana Simba kupata fitness na tactics.
 
Mna vamia majukwaa kwa mihemko,una hakika klabu ya Simba aikuomba radhi mashabiki wake?

Wewe aufatilii soka, kaa utulie.

Simba ni timu bora, haya mashindano Simba wamecheza mechi nyingi kuanzia hatua ya awali mpaka kufika robo na walifanya vema mbele ya timu ngumu na kubwa.

Hakuna timu isiyofungwa hata Barca walishapigwa 7. Simba tulizidiwa mbinu tukafungwa ni sehemu ya mchezo.
 
😁😁😁
65m.jpg
 
Back
Top Bottom