Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
watanzania ni watu wa ajabu sana .wanalalamika kwamba miss tanzania 2016 kapigwa chini na ile project yake ya masai dondosha wembe na kuchukuliwa na miss kenya si kweli
Masai dondosha wembe ni project nzuli ila alikua anafanya movie na sio real.. In miss world they wants reality show...sio movie...kama mwenzao alivopeleka hydrociole project watu wenye tatizo lile walionekana sema miss akawa anasaiidia kuwatibu na kuwacheer up...asa unatuonyesha ukeketaji na hakuna realistic anaekeketwa ni ww...c wanaona this is not real but a story tuu with director in America they can make zombies ,alliens and so many others kwaiyo to them Masai dondosha wembe was just a movie go and watch it...
angalieni zile project za kina miss nepal.miss indonesia alieibuka mshindi,miss india ,miss kenya nk.
miss tanzania hajafanya kitu chochote kwa jamii kaact movie yake kapeleka .mlitaka msaidiweje.
nadhani kwa tz tatizo ni muda miss anapatikana week hii week ijayo anaenda miss world anakuwa hajapata hata muda wa kutumikia jamiii yake na kuleta impact inayoonekana wenzetu mtu anakaa mwaka anakuwa ashafanya mambo kibao anakuwa na cha kuonesha .sasa diana anapeleka movie kweli halafu mnalia eti ilikuwa nzuri kama ni movie miss mexico angepeleka telemundo yake au miss philiphines angepeleka yake pangetosha kweli?
watanzania tujipange .halafu acheni kumtukana miss kenya ni upuuzi uliopitiliza .
Masai dondosha wembe ni project nzuli ila alikua anafanya movie na sio real.. In miss world they wants reality show...sio movie...kama mwenzao alivopeleka hydrociole project watu wenye tatizo lile walionekana sema miss akawa anasaiidia kuwatibu na kuwacheer up...asa unatuonyesha ukeketaji na hakuna realistic anaekeketwa ni ww...c wanaona this is not real but a story tuu with director in America they can make zombies ,alliens and so many others kwaiyo to them Masai dondosha wembe was just a movie go and watch it...
angalieni zile project za kina miss nepal.miss indonesia alieibuka mshindi,miss india ,miss kenya nk.
miss tanzania hajafanya kitu chochote kwa jamii kaact movie yake kapeleka .mlitaka msaidiweje.
nadhani kwa tz tatizo ni muda miss anapatikana week hii week ijayo anaenda miss world anakuwa hajapata hata muda wa kutumikia jamiii yake na kuleta impact inayoonekana wenzetu mtu anakaa mwaka anakuwa ashafanya mambo kibao anakuwa na cha kuonesha .sasa diana anapeleka movie kweli halafu mnalia eti ilikuwa nzuri kama ni movie miss mexico angepeleka telemundo yake au miss philiphines angepeleka yake pangetosha kweli?
watanzania tujipange .halafu acheni kumtukana miss kenya ni upuuzi uliopitiliza .