Kilichonifanya niichukie udsm

Pole sana. Wewe ni Kichwa na ndo maana ukaleta Uzi huu hapa wadau wakupe mwanga , hayo maneno ya waja yasikurudishe nyuma. Fuatilia kwa karibu , utafanikiwa. Ki ukweli kilichokutokea kingemtokea yeyote asingefurahi. Matusi na kejeli wkt mwingine zinaboa...
 
mkuu Baba V wanatoa kuanzia certificate,ipo certificate of law,ipo ya cultural heritage ipo ya computer,na kuna diploma zake pia,pamoja na hii ya statistics,sema huwa hawazitangaz kiviile

My shame.. mkuu nimepitwa na mengi kumbe. nilidhani Udsm bado ni ile ya miaka ile..
 
Last edited by a moderator:
kama umefanya diploma udsm hawawez kukuacha,,,,baada ya hizi ckukuu,anzia TCU,then nenda kwa director of undegraduate udsm,utapata suluhu
mimi sikusoma 4m 6 nilichukuliwa diploma moja kwa moja nilivomaliza 4m 4, itabdi niende kule nacte
 
My shame.. mkuu nimepitwa na mengi kumbe. nilidhani Udsm bado ni ile ya miaka ile..

bro Baba V udsm kwa sasa pia pesa wanaangalia,maana hizo ada ya masters senate imepitisha hazikamatiki,kuna kozi pale mil 8,kozi ya ada ndogo ni mil 4,lakin pamoja na hayo kwa dip wanatoa vizuri sana,kwa wahitimu wa cultural heritage ndo hao wanaokwenda kwenye majumba ya makumbusho,pia hata wahitim wa kompyuta naambiwa ni wazuri,
sasa unaweza sambaza info
 
Last edited by a moderator:
Kweli Keisha asante sana kwa kunitia moyo Mungu akubariki, yani hawa itabidi niwazoee 2,
 
Kweli Keisha asante sana kwa kunitia moyo Mungu akubariki, yani hawa itabidi niwazoee 2,
 

mwambie huyu New Manase labda kajiunga leo jf,
 
Last edited by a moderator:
karibu shoga alaf wewe inaonekana kuna pedeshee linakucheda malaya mkubwa wewe! Mimi cyo kilaza na cjabebwa kama wewe nina upper second ya statistics alaf 4m 4 nilipata div 1 ya 9 sasa kama unataka mboo sema 2kupe

Hapa umeharibu arifu....
Hupaswi kutukana,jibu post za wale wenye kukuonyesha nia ya kukusaidia hii ndiyo jf. Baba V....sijakupata uzuri mjumbe.
 
Last edited by a moderator:
Hapa umeharibu arifu....
Hupaswi kutukana,jibu post za wale wenye kukuonyesha nia ya kukusaidia hii ndiyo jf. Baba V....sijakupata uzuri mjumbe.
asante mkuu, cna mda mref toka nimejiunga jf
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…