New Manase
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 294
- 39
- Thread starter
-
- #141
dipl ya statistics alaf mi nilifaulu kwa daraja la kwanza 4m 4 nkaanza moja kwa moja diplomapole sana,uschukie taratibu kamuone Director of under studies,atakupa maelekezo. Lakn pia,dip yako umeitumiaje!? kama ya ucc hahaaah majanga!
Mkuu tcu na nacte ni tume ambazo zinafanya kazi/majukumu yanayofanana ingawa nacte haijawa maarufu kama ilivyo tcu ndio maana unadhani mtu aliyechaguliwa na nacte kwenda ud haqualify no anasifa isipokuwa tu kuna mistake ndogo hizi tume mbili zimefanya ndio maana kuna wanafunzi wanafika vyuoni hawaoni majina ilihali mwanzo yalikuwepo. Mimi ni moja ya wanafunzi waliokuwa chini ya nacte ingawa sijapata tatizo la rafiki yetu.....kwani nacte wanaweza kukuchagua kwenda udsm?, udsm haipo chini ya nacte, and it is above nacte. Au unamaanisha tcu? Kama ni nacte wamekuchagua basi udsm wanaweza kuwa right. Embu angalia vizuri hiyo selection
Usichukie udsm bali chukia majigambo uliyofanya mtaani kwenu baada ya kuskia umechaguliwa udsm. Ona sasa utawaambia nn uliowaacha kitaa..
Anyway pole sana.
lazima ntarudi udsm nataka niende nkakomae na director wa undergraduate studies, lazma ntawegea feedbak wakuu!
hahahahhaaa,,,,unamaanisha nini mdau Activister
lazima ntarudi udsm nataka niende nkakomae na director wa undergraduate studies, lazma ntawegea feedbak wakuu!
Kuna baadhi ya vijana wamechafua upepo hili jukwaa.
Ukitoa ushauri unapewa kauli zisizo na STAHA.
Inahitaji uvumilivu kupambana nao ili warudi kwenye mstari.
Kuna mse**** kamshaur aende mukobs kwan hyo ndo chuo ya vlazaa aache ulimbukeni.
dipl ya statistics alaf mi nilifaulu kwa daraja la kwanza 4m 4 nkaanza moja kwa moja diploma
we huelewi umeingilia mada kichwa kichwa, mimi nimesoma udsm diploma alaf nijisifu tena cwez kukosa ntaenda kukomaa mpaka nipate naamini vgezo ninavyo na cwez kutry next time, <ctak matusi>kweli, kama alishajigamba mitaani aibu kaka ila pole sana. Try next time.
asante mkuu Mungu akubarikiKomaa kupigania Ndoto zako kijana.
ukiona m2 anaandika upumbavu achana nae huyo hana elimuKuna mse**** kamshaur aende mukobs kwan hyo ndo chuo ya vlazaa aache ulimbukeni.
kaka hii ni hatari duh kwahyo kuna wengine hawaxomi wanapewa 2 izo vyeti kwa pesa!baadhi ya wahadhir wa muccobs wana mitambo ya kutengeneza vyeti
true kaka!hahahaha,ujue wachangiaji weeeengi wa humu ni expected fest yr
kweli mkuu lazma nikomaehahahaha,kweli una hasira na udsm,,,,,komaa,na kijana unapaswa kukomaa
mh! jamani hiv vyuo mna hisa? kwan si mnasoma tu na mnamaliza wanaingia watu wengine ya nn kutukananainaonekana we unachunga sana kauli....kione kilivyo kama toto kijiwe stiki... DIT.. Ni ya kuilinganisha na Ud? Au ndo kuwashwa nyo.o,ko wewe. Njoo COET NIMEJAA TELE KAMA ULIVYO MTWANGIo wangu.
Huyu mshkaji(micharazo) asikusumbue akili kwani elimu haijamsaidia ye kafata udsm hajafata elimu msamehe buremh! jamani hiv vyuo mna hisa? kwan si mnasoma tu na mnamaliza wanaingia watu wengine ya nn kutukanana
Yani nimechaguliwa udsm(baE) na nacte kutokana na udsm kuwa na nafasi alaf leo naambiwa i am not admitted is this fair?
dipl ya statistics alaf mi nilifaulu kwa daraja la kwanza 4m 4 nkaanza moja kwa moja diploma