Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hahaahahaaa pole kalalee kwa rafik subri.hasir zake zitakapo koma mfuate kwa utaratibLeo nikiwa kanisani mapema sana
ndipo.mchungaji akasema kila mtu amwambie jirani yake
"deni langu limelipwa na Mungu"
sasa nami ile nageuka pembeni yangu ili nisema neno hilo la pastor kwa jirani
paah..! namuona baba mwenye nyumba wangu ...
ikabidi niseme kwa nguvu kabisa maneno ya mchungaji..
naona tu baba mwenye nyumba katoka kanisani kakunja ndita kama vile mjusi kabanwa na mlango..
nimerudi home nakuta chumba changu kimepigwa kufuli ..!
huenda baba mwenye kaenda kunibadiliahia chumba..!
2021 Yaani bado tu unaenda kanisani ama msikitini kusali kueneza tamaduni za watu?Leo nikiwa kanisani mapema sana
ndipo.mchungaji akasema kila mtu amwambie jirani yake "deni langu limelipwa na Mungu"
sasa nami ile nageuka pembeni yangu ili nisema neno hilo la pastor kwa jirani paah..! namuona baba mwenye nyumba wangu ...
ikabidi niseme kwa nguvu kabisa maneno ya mchungaji.. naona tu baba mwenye nyumba katoka kanisani kakunja ndita kama vile mjusi kabanwa na mlango..
nimerudi home nakuta chumba changu kimepigwa kufuli ..!
huenda baba mwenye kaenda kunibadiliahia chumba..!
Hakuna vya bure mjin hii we lipa tu kodi aisee.Leo nikiwa kanisani mapema sana
ndipo.mchungaji akasema kila mtu amwambie jirani yake "deni langu limelipwa na Mungu"
sasa nami ile nageuka pembeni yangu ili nisema neno hilo la pastor kwa jirani paah..! namuona baba mwenye nyumba wangu ...
ikabidi niseme kwa nguvu kabisa maneno ya mchungaji.. naona tu baba mwenye nyumba katoka kanisani kakunja ndita kama vile mjusi kabanwa na mlango..
nimerudi home nakuta chumba changu kimepigwa kufuli ..!
huenda baba mwenye kaenda kunibadiliahia chumba..!
πππLeo nikiwa kanisani mapema sana
ndipo.mchungaji akasema kila mtu amwambie jirani yake "deni langu limelipwa na Mungu"
sasa nami ile nageuka pembeni yangu ili nisema neno hilo la pastor kwa jirani paah..! namuona baba mwenye nyumba wangu ...
ikabidi niseme kwa nguvu kabisa maneno ya mchungaji.. naona tu baba mwenye nyumba katoka kanisani kakunja ndita kama vile mjusi kabanwa na mlango..
nimerudi home nakuta chumba changu kimepigwa kufuli ..!
huenda baba mwenye kaenda kunibadiliahia chumba..!
Haya maji ya moto, yaani hata chai hakuna π πChai ya January!