Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #61
Weee unito.....Ndiyo hapo huwaga vinatokea hakuna sehemu nyingine ila siku nyingine naomba unialike ili nione ndoyo vinatokea hapo kweli au kuna sehemu nyingine? [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Mimi sipo hukoUkojoe wewe halafu utuulize sisi? Sio haki hata kidogo, Sauna ya Ukweli iko pale Nefaland Hotel saaafi kabisa, njoo twende wote
Habana mkuu nitakuwa naangalia tuuWeee unito.....
SawaHabana mkuu nitakuwa naangalia tuu
Nitashukuru sana mkuu ukinialika nione vinavyoruka ni raha sanaSawa
wewe...Hakuna kitu napenda kama kukoment ntakavyo bila kujali uzi ni wa nani
Asanteee magu watu tunakojoa hata kwa mvuke wa sauna hureeee
wewe...
DuhMimi sipo huko
Bila shaka kajifunza.Ananichosha tu mie basi anadhan nitamjalii
Bibi we sio wote, na ututake radhi wanaume wote wa humu tusiokuwa malaya.. Tutake radhi kwa kweli.Unajua kuna wadada humu wana mabwana jf sasa wakiona sisi wengine tunaandika nyuzi kujifurahisha nyoyo zetu wanaona mabwana zao mamende ,wakati wanaume wa humu malaya kweli hata sio wa kuwawazia
Teeeeeena.Unajua kuna wadada humu wana mabwana jf sasa wakiona sisi wengine tunaandika nyuzi kujifurahisha nyoyo zetu wanaona mabwana zao mamende ,wakati wanaume wa humu malaya kweli hata sio wa kuwawazia
. Nakojoooa. Una majibu ya kukeraEndelea kuwaza hivyo,mna wasi wasi na mabwana zenu humu ee,,huku nna mabwana kama watano wananitosha kabisa kuwa na amani
Mende sio malaya. Mende ni kama basha. Wazee wa kuruka ukutaBibi we sio wote, na ututake radhi wanaume wote wa humu tusiokuwa malaya.. Tutake radhi kwa kweli.
Watuwaache na jion naleta uzi ahahahTeeeeeena.
Ahahahah yap kila nchi nna network. Nakojoooa. Una majibu ya kukera
Mmetupanga humu halaf tunawachora tuBibi we sio wote, na ututake radhi wanaume wote wa humu tusiokuwa malaya.. Tutake radhi kwa kweli.
Lete anaekera hatasoma. Akijibu kapenda.Watuwaache na jion naleta uzi ahahah