Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #161
Nikome mwache asemeKwani nimemziba mdomo, aseme.
Aahh!! Hapa sio mahala pake kama hajamtaja mumewe kwanin mie nimtajie, wewe si shoga yako yule kamuulize.Kaolewa na nani?
Kwanini unamsemea maneno we nani yakeAahh!! Hapa sio mahala pake kama hajamtaja mumewe kwanin mie nimtajie, wewe si shoga yako yule kamuulize.
Dina mtu wake nani kama sio wewe?Naona mlikuwepo wakati tunatongozana, nyie msiharibu ndoa za watu dina ana mtu wake.. Mie nishakuwa saint siku hizi, mimi na magoma basi.
SanaaaWe nae mnaaa wewe
Mimi alikua anatest akaona story tu wala hakunitaka mwenyeweHuku anakutakaga na wewe
Anamsingizia Dina. Asije mtaja nanihii tuKaolewa na nani?
Aahh!! Hapa sio mahala pake kama hajamtaja mumewe kwanin mie nimtajie, wewe si shoga yako yule kamuulize.
Kwani nimemziba mdomo!?Nikome mwache aseme
Swahiba wake.Kwanini unamsemea maneno we nani yake
We koma wee, ana mwenyewe yule.Dina mtu wake nani kama sio wewe?
Nakujua vizur binti ww[emoji23] [emoji23]Sanaaa
Akikuelewa atanielewesha na mie. [emoji23]Mimi alikua anatest akaona story tu wala hakunitaka mwenyewe
Acha woga utakuta hata huyo mwenyewe anasema ana mwenyeweWe koma wee, ana mwenyewe yule.
Nani!?Anamsingizia Dina. Asije mtaja nanihii tu
HahahaaahaaAkikuelewa atanielewesha na mie. [emoji23]
Deo KisanduNani!?
Chain ni jambo la kawaida, ila mie sipo kwenye chain hiyo, nimejituliza zangu mie, muulize vizur atakwambia.Acha woga utakuta hata huyo mwenyewe anasema ana mwenyewe
Hehehehehe kumbee wanaanza kutest hivyo hivyooMimi alikua anatest akaona story tu wala hakunitaka mwenyewe
[emoji23] [emoji23]Hahahaaahaa