Kilichonitokea: Usitongoze ovyo Sinza

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Jioni ya jana nikiwa mitaa ya Mugabe nikamkuta mdada flani mweupeee kapata tatizo la pancha kwenye IST yake. Akaomba msaada, nikamsaidia kubadilisha tairi, kutokana na manukato (si shepu).

Nikaomba namba daah dakika 5 nyingi akaanza kuniambia kama nataka kipochi-manyoya niandae 100,000/= nikalia lia (bargaining) akakubali kwa 60,000/= (ghetto kwake) nilipomaliza nikasema ngoja nikapoze koo KONA BAA duuh ghafla huyu hapa kumbe ndo kijiwe chake cha kuuza papuchix bei 15,000/MSHINDO.

Nimelanguliwa kizembe 60,000-15,000=45,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…