Kilichonitokea: Usitongoze ovyo Sinza

Huko sinza kuna nini mkuu kila siku wew na malaya afu kingine hao dada poa wamechukua nyota yako kaka fika time achana nao hayo ni malango ya shetani wasipokup magonjwa watakuletea mikosi
 


Mwanamme wa Dar sikia, mwanamke hatakiwi kuhongwa ili agawe uroda, kuhongwa ni ujinga tu. Tambua, hakuna mwanamke asiyependa kugegedwa hapa duniani kwani ile ndiyo starehe peke hapa. Ongea na mwanamke vizuri atakuelewa, mbona sie wengine hatuongi na tunachana nywele vipochi manyoya mpaka yananyooka?
 
Pole [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana aise [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…