YEye ndo kajichanganya kunipeleka ghetto full furnished. Ningekuwa na tamaa siku unaenda na FUSOHiyo mara ya pili I bet utakuja na uzi wa kuibiwa kila kitu mkuu. Japo kuna time malaya nao huwa free ila si kwa wa type hyo ya 60 kwa 15 shtuka wew mjamaa
Akili ya mwanaume na papuchi ni uji na mgonjwa.Wanaume mmezidi uroho yaani mnatia kinyaa saa ingine!acha mtapeliwe tu hahaa jihadhari tu na kaswende maana umewajaa sana hao madada poa
a.k.a Moshi bar. Unapata mpaka za Buku.Manzese kona ya usafirishaji almaarufu mahakama ya ndizi usiku ni buku tatu tu punguf unaongea. Kimboka buku
Kwani huwa zinatofauti gani mbele ya Dume.na zipo fresh tu.
Meeda ndo wapiHaha haha,ungeenda mitaa ya Meeda buku tano tuu
Duh change ana IST? maisha yanaenda kasi sanaJioni ya jana nikiwa mitaa ya Mugabe nikamkuta mdada flan mweupeee kapata tatizo la pancha kwenye IST yake. Akaomba msaada, nikamsaidia kubadilisha tairi, kutokana na manukato (si shepu). Nikaomba namba daah dakika 5 nyingi akaanza kuniambia kama nataka kipochi-manyoya niandae 100,000/= nikalia lia (bargaining) akakubali kwa 60,000/= (ghetto kwake) nilipomaliza nikasema ngoja nikapoze koo KONA BAA duuh ghafla huyu hapa kumbe ndo kijiwe chake cha kuuza papuchix bei 15,000/MSHINDO. Nimelanguliwa kizembe 60,000-15,000=45,000