Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Karibu sanaMimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Karibu ndugu, weka picha[/QUOTE
OK, shukrani.
New I'd mnatutakisha nn
Hatari ila nimeshawazoea.Kumbuka pia humu kuna uhakiki wa vyeti humu.. Maana kila mtu humu kasoma chuo udsm na kila mtu ni maneger/ director wa sehem flan
Wengi wana ela, magari, madem/ waume wazuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu ndugu, weka picha
Aamenn karibu mae!!Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Mi niko stendi huku umenizoea saa ngapi ebu ni pm kwanza kama wewe ni ke!!Hatari ila nimeshawazoea.
Karibu ila pumzika sebuleni kwanza ujuzwe utaratibu ..Mimi ni mgeni humu ndani, nimekuwa napitia kwa muda sasa 'as a guest' kiukweli JF ni sehemu inayofanya mtu usiboreke.
Kilichonivutia zaidi ni upatikanaji wa habari kwa haraka, kila unaposikia jambo fulani ukiingia JF tayari lipo, hivyo basi naomba mnipokee tafadhali.
Nimekuzoea kwenye thread na sio nje ya hapo.Mi niko stendi huku umenizoea saa ngapi ebu ni pm kwanza kama wewe ni ke!!
Utaratibu nshaupata ndo maana nipo jamvini.Karibu ila pumzika sebuleni kwanza ujuzwe utaratibu ..
Ahsante..Karibu ndugu, weka picha