Kilichoongeza Bei ya mafuta ni tozo au kupanda kwa bei kwenye soko la dunia?

Uliandika kuwa mwaka jana bei ilikuwa dola 63.27 kwa pipa na mwaka huu bei ni $62.26 kwa pipa ukionyesha kuwa nei imepungua kidogo au iko almost constant, lakini ukweli ni kuwa bei ya mafuta imepanda sana kati ya mwaka jana na mwaka huu.

Sikiliza kipindi hiki cha NPR

na soma article hii

Oil Prices Are In Turmoil Right Now. Here Are 5 Things You Need To Know
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…