Kilichotokea leo Ubungo Simu2000 kiwaamshe viongozi kuhusu wasomi wengi kuwa wafanyabiashara ndogondogo. Nyakati zimebadilika

Anafaa kuwa kiongozi kuanzia ngazi ya familia mpka Taifa
 
Classmate kumbe kawa machinga nimesoma nae Michigan state University
 
Tumshukuru Mama Samia kwa kuheshimu ibara ya 18 ya katiba inayotoa uhuru wa kutoa maoni. Enzi za JPM hao wafanyabiashara wangesambaratishwa.
 
Hatqree
 
Lakini ukweli uliopo,kwa faida ya msiolijua hili eneo la Simu2000 ni kwamba,kituo cha daladala cha Sim2000 hakikuwa permanent yaani hakikujengwa kitumike miaka yote,kilijengwa ili kukidhi matumizi ya daladala ambazo baada ya muda fulani zote zitatoweka hapa mjini Dar,na usafiri utakao chukua nafasi ni wa mabasi ya mwendo Kasi.
Kosa walilofanya watu wa serikali,nikutoweka wazi mipango yao kwa wananchi,wangewaambia mapema kuwa Simu2000 ni temporary.
Nawaonea huruma hao wafanyabiashara sijui kama hoja zao zinaweza kubadili ramani ya eneo hilo,sababu barabara zimeishajengwa tayari.
 
Huyo
Huyo Bomboko mbona kama mtu wa pande za wala urojo!!
 
Safi sana,Apewe ulinzi wa kiroho na kimwili.
 
Achana na mambo ya temporary
Na blah blah zingine...unazotoa

Kwanza kiuhalisia wamiliki wa eneo hilo ni ttcl ....ilikuwa

Turudi sasa kwenye mada,karakana ya UDA mwanzoni ilikuwa,kurasini huko eneo la huko wakampa galco-GSM sahv imekuwa ICD yao..
Stendi ya mkoa ubungo ilipohamishwa plan ilikuwa UDART sasa eneo hilo walitumie kama karakana ,badaye gia ikabadilishwa eneo hilo wakampa mchina ajenge soko lake ....
Vibopa wakaa wakaona hata wanyonge wakuwaonea nani ndy wakaja na wazo la eneo la sim2000

Ova
 
Credits
,,,, +254
 
Serikali ya Tanzania haiwajali kabisa raia wake. Inawaona kama vituko. Ipo siku watu watachoka kuvumilia upuuzi.
 
Wewe ni mpumbavu kama hao viongozi wa serikali ya Ubungo. Halafu hata nchi zilizoendelea zinakuwa na options za usafiri. Kusema kutegemea usafiri wa mwendokasi peke yake ni kuirudisha nchi nyuma kwa miaka 50. Inatakiwa mabasi ya mwendokasi, daladala na treni ili kukidhi haja ya usafiri. Pia kuziondoa daladala zote ni kupoteza ajira za maelfu ya watu na pia kupoteza mapato ya serikali. Kimsingi UDART ni mradi wa kipigaji zaidi na sio vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…