Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?

Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Makala yangu Nipashe ya Jumapili.
Tanzania itumie Matokeo ya Marekani .jpg

Bado niko Jijini Washington DC, nchini Marekani, kwenye haya na yale.

Hii ni makala ya swali, hiki kilichotokea kwenye matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kutomchagua mgombea mwanamke kwa sababu nyingine zozote, ila moja ya sababu hizo, inaweza kabisa kuwa ni sababu tuu ya jinsia yake kwa Wamarekani kughubikwa na mfumo dume wa kuibagua jinsia ya kike!.

Yaani mtu ana sifa zote, ila bado hachaguliwi kwasababu tuu ya jinsia yake ni mwanamke!.https://www.jamiiforums.com/threads/inawezekana-wamarekani-ni-wajinga-ajabu-wamemchagua-mwanaume-na-kumtosa-mwanamke-2025-watanzania-tuchague-mwanamke-kuonesha-tuna-akili-zaidi-yao.2274411/

Tanzania tumebahatika kupata rais mwanamke sio by choice, bali by chance tuu kwa kudra za Mwenyeezi Mungu, na hata lile tukio la Mach 17 lisingetokea, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke 2025 kwasababu ya uoga tuu wa ubaguzi wa mfumo dume kuwaona Watanzania bado hawajawa tayari kumchagua rais mwanamke!.

Maadam Mwenyeenzi Mungu, ameisha tu kudria rais Mwanamke, na baadhi ya sisi Watanzania, tumedhamiria uchaguzi wa 2025, twende na mwanamke, Watanzania wasipoandaliwa vizuri kisaikolojia na kimikakati, je wajua kilichotokea kwenye uchaguzi wa Marekani kinaweza kabisa kutokea Tanzania kwenye uchaguzi wetu wa 2025 Watanzania wakaacha kuchagua kitu safi cha ukweli, kama Kamala Harris, halafu wakachagua kichaa kama Tirampu?.


Hapa nauliza, je tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kama Shamba Darasa la uchaguzi wetu wa 2025?, au wao Wamarekani ni wao na ubaguzi wao wa mfumo dume na sisi Watanzania ni ni sisi hatuna ubaguzi wa kihivyo, hivyo hatuna lolote la kujifunza kwenye uchaguzi wa Marekani? .

Au kwa vile matokeo ya chaguzi zetu ndio ni kama vile Nape alivyosemaga, hivyo Watanzania tutembee tuu vifua mbele kabisa bila wasiwasi wowote wa 2025, mambo yetu ni kama kawa, ni kile kile chetu, na wale wale wetu?, ikifika siku ya siku ni unachukua unaweka ... Malizia mwenyewe!.

Paskali
Washington DC,
Marekani
 
Wamarekani wanasema wamedanganywa.
Joe Biden alipaswa kusema afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili.
Kama ambavyo Magufuli alipaswa kusema kwamba afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili
Badala yake Biden hakufanikiwa hata kupata nomination ya muhula wa pili.
Na Magufuli amekula kiapo muhula wa pili,mara tu baada ya kumaliza kuapa,akashika moyo,akaugua,akafa.
Sasa,hapo ndipo wanapobisha Wamarekani,kwamba,kweli,sisi hatukujua Magufuli atakufa, lakini lazima kuna mtu alikuwa pale alikuwa anajua na alituficha.
Kwa ajili hiyo, Wamarekani wanasema hawatamchagua Kamala Harris,huyu ni jambazi tu,mwizi .
Siyo swala la kumchagua mwanamke. Ni swala watu kutaka kuingia Ikulu kupitia mpango wa nyuma.
 
Wamarekani wanasema wamedanganywa.
Joe Biden alipaswa kusema afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili.
Kama ambavyo Magufuli alipaswa kusema kwamba afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili
Badala yake Biden hakufanikiwa hata kupata nomination ya muhula wa pili.
Na Magufuli amekula kiapo muhula wa pili,mara tu baada ya kumaliza kuapa,akashika moyo,akaugua,akafa.
Sasa,hapo ndipo wanapobisha Wamarekani,kwamba,kweli,sisi hatukujua Magufuli atakufa, lakini lazima kuna mtu alikuwa pale alikuwa anajua na alituficha.
Kwa ajili hiyo, Wamarekani wakasema hawatamchagua Kamala Harris,huyu ni jambazi tu,mwizi .
Siyo swala la kumchagua mwanamke. Ni swala watu kutaka kuingia Ikulu kupitia mpango wa nyuma.
 
Kwanza nikupongeze ndugu Pascal Mayalla kwa mabadiliko makubwa uliyoyaonesha ktk uzi huu. Kwa mara ya kwanza kabisa umeweka baniko fupi lenye content ya kuvutia lkn linaokoa muda.

Kujibu hoja yako ni kwamba, Tanzania hakuna uchaguzi, kwahiyo ni vigumu kulinganisha.
 
Wanabodi,
Makala yangu Nipashe ya Jumapili.
View attachment 3154760
Bado niko Jinini Washington DC, nchini Marekani, kwenye haya na yale.

Hii ni makala ya swali, hiki kilichotokea kwenye matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kutomchagua mgombea mwanamke kwa sababu nyinyine zozote, ila moja ya sababu hizo, inaweza kabisa kuwa ni sababu tuu ya mfumo dume, mtu ana sifa zote, ila bado hachaguliwi kwasababu tuu ni mwanamke.

Tanzania tumebahatika kupata rais mwanamke sio by choice, bali kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, na hata lile tukio la Mach 17 lisingetokea, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke 2025 kwasababu ya uoga tuu wa mfumo dume!.

Maadam Mwenyeenzi Mungu, ameisha tu kudria rais Mwanamke, na baadhi ya sisi Watanzania, tumedhamiria uchaguzi wa 2025, twende na mgombea mwanamke, je kilichotokea kwenye uchaguzi wa Marekani kinaweza kutokea kwenye uchaguzi wetu wa 2025?.

Je tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kama Shamba Darasa la uchaguzi wetu wa 2025?, au wao Wamarekani ni wao na ubaguzi wao wa mfumo dume na sisi Watanzania ni ni sisi hatuna ubaguzi wa kihivyo, hivyo hatuna lolote la kujifunzanza kwenye uchaguzi wa Marekani? .

Au kwa vile matokeo ya chaguzi zetu ndio ni kama vile Nape alivyosemaga, hivyo Watanzania tutembee vifua mbele kabisa bila wasiwasi wowote wa 2025, mambo ni kama kawa, ni kile kile chetu, na wale wale wetu?.

Paskali
Washington DC,
Kadri Serikali iliyoko madarakani inaendeshwa na Wahuni, hakuna shaka matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao utashangaza Watanzania na dunia kwa ujumla. Wapiga kura wana ufahamu wa kutosha wa ni nani kiongozi anawafaa
 
Wamarekani wanasema wamedanganywa.
Joe Biden alipaswa kusema afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili.
Kama ambavyo Magufuli alipaswa kusema kwamba afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili
Badala yake Biden hakufanikiwa hata kupata nomination ya muhula wa pili.
Na Magufuli amekula kiapo muhula wa pili,mara tu baada ya kumaliza kuapa,akashika moyo,akaugua,akafa.
Sasa,hapo ndipo wanapobisha Wamarekani,kwamba,kweli,sisi hatukujua Magufuli atakufa, lakini lazima kuna mtu alikuwa pale alikuwa anajua na alituficha.
Kwa ajili hiyo, Wamarekani wakasema hawatamchagua Kamala Harris,huyu ni jambazi tu,mwizi .
Siyo swala la kumchagua mwanamke. Ni swala watu kutaka kuingia Ikulu kupitia mpango wa nyuma.
Paskali kuna kitu kwa mda mrefu amekuwa akitaka kusema.
 
Kwa nikupongeze ndugu Pascal Mayalla kwa madiliko makubwa uliyoyaonesha ktk uzi huu. Kwa mara ya kwanza kabisa umeweka baniko fupi lenye content ya kuvutia lkn linaokoa muda.

Kujibu hoja yako ni kwamba, Tanzania hakuna uchaguzi, kwahiyo ni vigumu kulinganisha.
Hata Mimi nampongeza Kwa kuwa direct na kuondokana na longolongo nyingi kwenye uandishi wake. Mara nyingi alikuwa akiweka rejea za post za nyuma na longolongo kibao Kwa lengo la kufikisha ujumbe Fulani indirectly.
Lakini Kwa kufanya hivyo alikuwa analeta mkanganyiko Kwa hadhira. Ni wachache tuliokuwa tunamwelewa Kwa kutumia zile 2D, tuliweza kumsoma between lines.
 
Wanabodi,
Makala yangu Nipashe ya Jumapili.
View attachment 3154760
Bado niko Jinini Washington DC, nchini Marekani, kwenye haya na yale.

Hii ni makala ya swali, hiki kilichotokea kwenye matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kutomchagua mgombea mwanamke kwa sababu nyinyine zozote, ila moja ya sababu hizo, inaweza kabisa kuwa ni sababu tuu ya mfumo dume, mtu ana sifa zote, ila bado hachaguliwi kwasababu tuu ni mwanamke.

Tanzania tumebahatika kupata rais mwanamke sio by choice, bali kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, na hata lile tukio la Mach 17 lisingetokea, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke 2025 kwasababu ya uoga tuu wa mfumo dume!.

Maadam Mwenyeenzi Mungu, ameisha tu kudria rais Mwanamke, na baadhi ya sisi Watanzania, tumedhamiria uchaguzi wa 2025, twende na mgombea mwanamke, je kilichotokea kwenye uchaguzi wa Marekani kinaweza kutokea kwenye uchaguzi wetu wa 2025?.

Je tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kama Shamba Darasa la uchaguzi wetu wa 2025?, au wao Wamarekani ni wao na ubaguzi wao wa mfumo dume na sisi Watanzania ni ni sisi hatuna ubaguzi wa kihivyo, hivyo hatuna lolote la kujifunzanza kwenye uchaguzi wa Marekani? .

Au kwa vile matokeo ya chaguzi zetu ndio ni kama vile Nape alivyosemaga, hivyo Watanzania tutembee vifua mbele kabisa bila wasiwasi wowote wa 2025, mambo ni kama kawa, ni kile kile chetu, na wale wale wetu?.

Paskali
Washington DC,
Marekani
Mbali sana kule
 
Wamarekani wanasema wamedanganywa.
Joe Biden alipaswa kusema afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili.
Mkuu Popi,@poppy hatonn, kwanza asante kuchangia uzi wangu,japo wengi humu wanakuchukulia wewe ni maji kupwa na kujaa,lakini kwangu wewe ni mmoja wa wana jf muhimu sana,kwasababu you are the one and only child from the first family kujiunga jf kwa jina lake,toka enzi za Guneshi!。
Kama ambavyo Magufuli alipaswa kusema kwamba afya yake haimruhusu kuendelea muhula wa pili
Mwenye jukumu la kusema afya hairuhusu, sio mhusika,ni daktari wake!。Tanzania tuna bahati sana,tuna watu wenye uwezo wa ajabu wa kuona mbali,angalia tarehe ya bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” angalia nilichosema
Wanabodi,
,kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya kujitosheleza kumuelezea, she is just so womanly, so genuine, so simple, very humble na down to earth!, ana a very rare charisma, which is very hard to find kwa viongozi wetu wengi wa kisasa.

She is just everything a woman needs to be!. Ingekuwa ni amri yangu ningetaka wanawake wenye uongozi, madaraka na mamlaka waige mfano wa Mwanamke huyu and to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times better kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!.

Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe tuu huyu mama ndie amalizie term yake yapili ili yeye apumzike!。

Paskali
Je anamjua huyo mtu niliyemtaja kwa jina la naniliu,ni nani?,amini nakuambia,huyo naniliu angenisikiliza,saa hizi angekuwepo!。Hiyo ilikuwa 2017, April 2020 nikapandisha bandiko hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza humo nilisema
Wanabodi,

Kwa hoja za muungano Mama Samia alizoshusha, ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye ampokee Dr. Shein kule Zanzibar, ili 2025, aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa Muungano, wao mwisho wao ni umakamo wa rais pekee.
Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?. Hili mnalionaje?.

Paskali
Jamaa angesikiliza na kufuata,you never know labda saa hizi angekuwepo!。

Kufuatia posts hizo mbili,sasa nimeanza kujiogopa,kuna vitu nikivisema vinakuja kutokea kweli "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia hivyo nikadhamiria kumlinda huyu aliyepo kwa kumshauri kuhusu hili jambo kwenye HII kitu。
Badala yake Biden hakufanikiwa hata kupata nomination ya muhula wa pili.
Na Magufuli amekula kiapo muhula wa pili,mara tu baada ya kumaliza kuapa,akashika moyo,akaugua,akafa.
Sasa,hapo ndipo wanapobisha Wamarekani,kwamba,kweli,sisi hatukujua Magufuli atakufa, lakini lazima kuna mtu alikuwa pale alikuwa anajua na alituficha.
Kwa ajili hiyo, Wamarekani wanasema hawatamchagua Kamala Harris,huyu ni jambazi tu,mwizi .
Siyo swala la kumchagua mwanamke. Ni swala watu kutaka kuingia Ikulu kupitia mpango wa nyuma.
 
Wanabodi,
Makala yangu Nipashe ya Jumapili.
View attachment 3154760
Bado niko Jinini Washington DC, nchini Marekani, kwenye haya na yale.

Hii ni makala ya swali, hiki kilichotokea kwenye matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kutomchagua mgombea mwanamke kwa sababu nyinyine zozote, ila moja ya sababu hizo, inaweza kabisa kuwa ni sababu tuu ya mfumo dume, mtu ana sifa zote, ila bado hachaguliwi kwasababu tuu ni mwanamke!.

Tanzania tumebahatika kupata rais mwanamke sio by choice, bali by chance tuu kwa kudra za Mwenyeezi Mungu, na hata lile tukio la Mach 17 lisingetokea, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke 2025 kwasababu ya uoga tuu wa mfumo dume!.

Maadam Mwenyeenzi Mungu, ameisha tu kudria rais Mwanamke, na baadhi ya sisi Watanzania, tumedhamiria uchaguzi wa 2025, twende na mgombea mwanamke, je kilichotokea kwenye uchaguzi wa Marekani kinaweza kutokea kwenye uchaguzi wetu wa 2025?.

Je tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kama Shamba Darasa la uchaguzi wetu wa 2025?, au wao Wamarekani ni wao na ubaguzi wao wa mfumo dume na sisi Watanzania ni ni sisi hatuna ubaguzi wa kihivyo, hivyo hatuna lolote la kujifunzanza kwenye uchaguzi wa Marekani? .

Au kwa vile matokeo ya chaguzi zetu ndio ni kama vile Nape alivyosemaga, hivyo Watanzania tutembee vifua mbele kabisa bila wasiwasi wowote wa 2025, mambo ni kama kawa, ni kile kile chetu, na wale wale wetu?.

Paskali
Washington DC,
Marekani
Mwanangu ni mara yako ya kwanza kutoka nini? Maana, kila ukiandika lazima useme uko Washing tone. Mbona ukiwa Kisesa huwa husemi? Mie baba yako niko UK aka Ukerewe na naona poa kuliko kuwa UK aka United Kingdom kwa sababu huku hatuna mfalme na walaji wake japo tuna chawa wachache wanaotusumbua na yule mchafu anayewafuga mwanangu.
 
Mwanangu ni mara yako ya kwanza kutoka nini?
duh。。。!。
Maana, kila ukiandika lazima useme uko Washing tone. Mbona ukiwa Kisesa huwa husemi?
my base ni Bongo,nikiandika kutokea popote nje ya Bongo,huwa na mention na ku sign off from nilipo。karibu
Mie baba yako niko UK aka Ukerewe na naona poa kuliko kuwa UK aka United Kingdom
Nilipo oa,Honeymoon nimeifanyia Ukerewe,my 1st born ni British subject,2nd born US subject,wife na 1st family wanaishi US,mimi na 2nd family tuko Bongo。
P
 
Wanabodi,
Makala yangu Nipashe ya Jumapili.
View attachment 3154760
Bado niko Jinini Washington DC, nchini Marekani, kwenye haya na yale.

Hii ni makala ya swali, hiki kilichotokea kwenye matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kutomchagua mgombea mwanamke kwa sababu nyinyine zozote, ila moja ya sababu hizo, inaweza kabisa kuwa ni sababu tuu ya mfumo dume, mtu ana sifa zote, ila bado hachaguliwi kwasababu tuu ni mwanamke!.

Tanzania tumebahatika kupata rais mwanamke sio by choice, bali by chance tuu kwa kudra za Mwenyeezi Mungu, na hata lile tukio la Mach 17 lisingetokea, CCM isingemsimamisha mgombea mwanamke 2025 kwasababu ya uoga tuu wa mfumo dume!.

Maadam Mwenyeenzi Mungu, ameisha tu kudria rais Mwanamke, na baadhi ya sisi Watanzania, tumedhamiria uchaguzi wa 2025, twende na mgombea mwanamke, je kilichotokea kwenye uchaguzi wa Marekani kinaweza kutokea kwenye uchaguzi wetu wa 2025?.

Je tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani, kama Shamba Darasa la uchaguzi wetu wa 2025?, au wao Wamarekani ni wao na ubaguzi wao wa mfumo dume na sisi Watanzania ni ni sisi hatuna ubaguzi wa kihivyo, hivyo hatuna lolote la kujifunzanza kwenye uchaguzi wa Marekani? .

Au kwa vile matokeo ya chaguzi zetu ndio ni kama vile Nape alivyosemaga, hivyo Watanzania tutembee vifua mbele kabisa bila wasiwasi wowote wa 2025, mambo ni kama kawa, ni kile kile chetu, na wale wale wetu?.

Paskali
Washington DC,
Marekani
Haihitaji Makala hata Sasa anaoingwa sana tuu Kwa sababu hiyo hiyo licha ya kuwa outshine sio tuu potential wagombea Bali hata waliotangulia kwenye suala Zima la delivery.

As for me hakuna Rais amewahi fanya vizuri kwenye uchumi kama SSH and to be specifically kwenye Kilimo, biashara,Huduma za jamii, miundombinu nk .

Sitarajii tumpoteze Rais mwenye delivery nzuri kisa tuu hizo sababu za kijinga na za kipuuzi,hiyo haitakiwi kufanyika hapa Tanzania.
 
Wapiga kura wengi ndio hao wajinga na wapuuzi!。
P
Tanzania hapa Rais hachaguliwi kwenye kura hatujafikia huko na ndio maana huwezi wasikiliza watu wajinga.

Kazi ya wajinga ni kuhalalisha uchaguzi.

Sitarajii tupoteze Rais wa maana kisa kundi kubwa la wajinga.

Mwisho sio mara ya kwanza unaandika hii Makala una mapya yapi huko jikoni?
 
Back
Top Bottom