Kilichotukera Orlando Pirates sio Penati ya kubebwa au maamuzi ya V.A.R kilichotukwaza ni vile vitochi vya kishamba

Kilichotukera Orlando Pirates sio Penati ya kubebwa au maamuzi ya V.A.R kilichotukwaza ni vile vitochi vya kishamba

Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.
Karibuni South Africa.
Na sio goli la kapombeeeeeeeeeeeeeee aaaahanhaahamanahahahahahanananmmnnhahaahaa goooooooaaaaaaaaaal
 
Tumetoka kifua mbele na VAR ya mchongo.
 
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.
Karibuni South Africa.
Watakazwa mkono mbwa hao
 
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.
Karibuni South Africa.
Tafuta mwalimu oa ,mwalimu ana deal na wajinga 60 kwenye darasa mmoja hawezi kushindwa mjinga mmoja
 
Mimi ni shabiki wa simba ila vile vitochi huwa vinanikera sana napoviona,kwanza havisaidii chochote
 
Kwanza mlisema simba atafungwa,
Sasa hivi mnasema kimoja hakitoshi hii nchi hii [emoji119]

Anashindiliwa pirates ,kichefuchefu anapata utopolo....
Maajabu hayaishi

Kapoooombeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....
Show me the waaaaaaaayyyyyy
Anawainua wanasimba uwanjaniiiiiiiiiii
Anawainua mashabiki elfu sitini hapa lupaso
Nani kasema simba haendi nusuuuuuuuu?
Uwanja unazizimaaaaaaaaaaaaa.......

Utaratibu ni ule uleeeeeeeeeee....
Utaratibu ni ule uleeeeeeeeeeeeeee......
Heshma ya Taifa la Tanzania ipo mabegani kwa wana Lunyasi........
Ukinuna uwe na sababuuuuuuuuuu
Simba inaibeba Nchi na wananchi wakeeeeeeee

Aghaaaaa aghaaaaa aghaaaaaaa

Hii ndio siri ya amaniiiiiiii na furahaaaaaaa
Simba sports clubbbbbbbbb
Simba sports clubbbbbbbbbbbb.............

Nani anatesekaaaaaaaaaaaaaaaa.......

This isssssssssssss SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA........

Pole wewe unayepata sononeko la moyo
Njoo simba raha zipo hukuuuuuuuuuu

Mtangazaji wa jana aliua sana

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.

Karibuni South Africa.
Utopolo kama mwiko unauma kiasi hiki kwani ni lazima kuwekwa huko nyuma?.
 
Back
Top Bottom