Kilichotutokea jana Bambalaga - Dodoma

Mbona mnaichukia Bambaga kwa ajili ya Malaya wanaonunua na wanaojiuza, mwenye Bar anahusikaje mpaka muiombee Ife?
Waswanu ndipo tukimaliza tunahamia Bambaga sehemu waheshimiwa hawafiki Bali wapambe na madereva
Uwezo wa bei za bia Rainbow, Club 84 Dodoma hotel hatuna acheni tunywe Bei ya serikali Bambaga na waswanu zisife
 
Sasa hilo tukio lilitokea bambalaga au wapi mbona pale ni peupe na kuna movements za watu Sana,au ndio mlitolewa mtutu!!!
 
Sema tu kuwa, mmiliki wa hiyo ni wa ivyoivyo
 
Sema tu kuwa, mmiliki wa hiyo ni katika wahalifu
 
Umeandika kama levi fulani hivi. Edit ili isomeke vizuri we mgogo wa Kongwa[emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…