Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Yote mswano, lakini hili la kutangaza ndoa kwenye mhemko umebonyeza sana mkuu.Unashangaa denda mkuu? Watu wanazama chumvini alafu wanavaa ndom. Kuna galz wako smart, wawezapagawa mpaka ukatangaza ndoa..
Maskini bambalaga inaenda kufa kama pestana
Wanywaji wa dom town ni walewale..Hapawezi kufa kirahisi namna hiyo..pale mlangoni mwa jiji mzee..kila mgeni anavutiwa napo usipoenda mwenyeji panajaa kama kawa..
Maajabu ya DUNIA hayo!!!Jitu hulijui unaanzaje kulila denda?
Unakurupuka tu kujibu hata story hujaielewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unawaonea aibu kupataja jina hapo sehemu? Taja ili warekebishwe.
Dah....[emoji38][emoji38][emoji38]!umetisha mzee......Ila Dodoma kwa umalaya Sasa haijambo! Watoto wanauza K kama nanasi za Chalinze. Sio Malaika,Mara kule Chako,Mara Bambalaga,Mara sijui CBC. Sitasahau,Ile nimeshuka tu Toka kwenye Mwewe wetu wa Taifa- AirTZ Ile mdogomdogo natoka getin nikachukua boda. Atari sana, sikujivunga nikamshirikisha boda. Bodaboda aliwahi niunganisha na mtoto Mkale maeneo ya Makole, tukachati badae mtoto akanambia ngoja kwanza nikutumie picha zangu unione, kama ukinielewa sawa, ntakuja. Duuu! Ile anatuma 2 za mwanzo tu.Nikamwambia njoo haraka. Nilikula mzigo safi, mpaka nikabaki nasikiliza wimbo... Jaman Dodomaaa, Dodoma yetu. Nina Imani mwaka huu nitaenda tena Dom,nikale nyama ya kisi. Hao malaya wa Bambalaga wakomeshwe mapema,au pafungwe maana wanatunyima viongozi watarajiwa kula maisha na kuweka akili freshi.
Tukiwa tunapta vinywaji tukiwa na jamaa zangu, mmoja wetu alimtaka demu mmoja mbaye inaonekana alikuwa muuzaji wa K, jamaa alimwimbisha demu akakubali akajumuika na sisi.
Yule demu alikuwa anafanya movement ambazo nizitilia shaka, mara kadhaa alikuwa anaenda kuongea na mabaunsa sikujua walikuwa wanaongea nini lakini niligundua aliakuwa wanafanya mipango ya kumdhuru jaama ya yetu, alimchukuwa jamaa na kwenda kwenye parking ili huku yule
Wazee wa Kuning'iniza Funguo🤣[emoji1][emoji1][emoji1], kuna ujinga jinga mwingi sana hapo. Ubishoo wa kipuzi puzi mwingi sana hapo.
Halafu vijamaa na vi-crown, athletes, ist, subaru, alteza, premio, fuga, alphard, voltz, noah, brevis, rumnio na jamii nyingine za baby walker wanajazana humo.
Utakuta vifunguo vya baby walker wanavitikisa tikisa ili kuwakoga vicheche na sampuli zingine za washamba washamba.
Ilishanitokea hiyo Kampala siatasahau , nilikokota pisi maeneo ya speke road nikaipeleka Hotel, nilinyonya sana maziwa mwisho wa siku nilikuja kushtuka saa nane mchana ila uzuri ChuMbAN ilikuwa nimelipia zaidi ya siku MOJaTukiwa tunapta vinywaji tukiwa na jamaa zangu, mmoja wetu alimtaka demu mmoja mbaye inaonekana alikuwa muuzaji wa K, jamaa alimwimbisha demu akakubali akajumuika na sisi.
Yule demu alikuwa anafanya movement ambazo nizitilia shaka, mara kadhaa alikuwa anaenda kuongea na mabaunsa sikujua walikuwa wanaongea nini lakini niligundua aliakuwa wanafanya mipango ya kumdhuru jaama ya yetu, alimchukuwa jamaa na kwenda kwenye parking ili huku yule demu akiwa ameshika chupa yake (ya huyu binti), Binafsi kwakuwa nilishamtilia shaka na mimi nikanyanyuka bila wao kujua nikawa nawafutilia, Basi yule demu akaanza kumpa yule jamaa denda, huku akitomasa mshikaji.
Bada ya dk kama 5 hivi nikaona jamaa yupo hoi kalegea balaa demu akawa kamuacha wakaja jamaa wawili mmoja ni dogo mmoja mweusi hivi alikuwa anaangalia watu ikiwa walikuwa wanapata huduma na mwingine ni muhudumu wa kiume mweupe hivi. Walianza kumpapasa jamaa wachukuwe simu na wallet ilibidi nishitue oya mbona unataka kumubia mshikaji, wakaanza kuwa na hofu, ahaaa kalewa tunataka tumsaidie mara ooh hajalipa bili alitaka kukimbia, ikawa mzozo balaa.
Huwezi amini mabaunsa walikuja wakamkomalia jamaa alitaka kuondoka bila kulipa bili, chap wakaandika karatasi ya bili 48,000, wakati bili hiyo tuliilipa mapema kabisa.
Kwakuwa jamaa walikuwa wamejipanga ikabidi tu nilipe tena kwa niaba ya jamaa ili kumnusuru maana niliona jamaa wamedhamiria.
Ikibidi tuondoke ila jamaa akawa hajitambui, mchana huu ndiyo anapata nafuu.
Inaonekana wale wadada poa wanashirikiana na wafanyakazi wa pale kuwawekea wateja madawa ya kulevya
Kwa hiyo ndugu zangu mkienda pale muwe na taadhari sana.
Una uhakika au unajichekesha tu?Hakueleza Bambalaga ni nini au wapi?Mimi nilidhani ni mkoa.Kumbe weye mgogo ukajua hiyo Bambandugu ni kilabu?Unakurupuka tu kujibu hata story hujaielewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya mkuu, fanya research utakuja niambia. Hata humu zipo thread kazaa watu wakisema wamewazimikia malaya mpaka kufikia hatua ya kuanzisha mahusiano ya kudumu.Yote mswano, lakini hili la kutangaza ndoa kwenye mhemko umebonyeza sana mkuu.
Nipe namba ya huyo boda mkuuIla Dodoma kwa umalaya Sasa haijambo! Watoto wanauza K kama nanasi za Chalinze. Sio Malaika,Mara kule Chako,Mara Bambalaga,Mara sijui CBC. Sitasahau,Ile nimeshuka tu Toka kwenye Mwewe wetu wa Taifa- AirTZ Ile mdogomdogo natoka getin nikachukua boda. Atari sana, sikujivunga nikamshirikisha boda. Bodaboda aliwahi niunganisha na mtoto Mkale maeneo ya Makole, tukachati badae mtoto akanambia ngoja kwanza nikutumie picha zangu unione, kama ukinielewa sawa, ntakuja. Duuu! Ile anatuma 2 za mwanzo tu.Nikamwambia njoo haraka. Nilikula mzigo safi, mpaka nikabaki nasikiliza wimbo... Jaman Dodomaaa, Dodoma yetu. Nina Imani mwaka huu nitaenda tena Dom,nikale nyama ya kisi. Hao malaya wa Bambalaga wakomeshwe mapema,au pafungwe maana wanatunyima viongozi watarajiwa kula maisha na kuweka akili freshi.
Kizaman sana aisee..hahahaKampiga denda changudoa [emoji1785]
Hata Mimi nilienda mara moja tu siwezi Rudi tenaAmini usiamini watu wajanja na wanaojielewa bambalaga walishapapiga chini siku nyingi sana kutokana na matukio ya kishamba kama hayo.
Asilimia kubwa ya wateja wa bambalaga ni wageni wa mikoani wanaoenda kwenye semina dodoma. Nawale mabaunsa na macgangudoa wanajua sana kuwasoma majingajinga ndio wanawapiga matukio.
🤣🤣🤣Kampiga denda changudoa 🤢