Kilichotutokea jana Bambalaga - Dodoma

Tz inatisha! Polisi hivyo, siasa hovyo, serikali hovyo. Wananchi tunaishi Kwa ubabe tu.
 
Umefanya ujinga kutoripoti polisi hili tukio maana hakijakaa sawa.
 
Weka jina la baa tuokoane walevi turushe na whatsapp
 
Wazee wa Kuning'iniza Funguo[emoji1787]
Kinachoudhi zaidi unakuta vijana wa kiume wanafanana na dada zao.

Wengine wametinda nyusi, scribes za nguvu, kucha wamepaka rangi n.k.

Wengine ukiwaangalia umri umesonga lakini wana-act u-tinagers!!

Kazi ipo!!

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hicho kibaa kina mambo ya aibu na uhuni sana Dodoma nzima, huwa kinamilikiwa na Jamaa mmoja mfupi anaitwa mtei.
Ni bar ya kihuni kwani wahudumu ni wahuni, walinzi ni wahuni na wanaenda wahuni tu pale, mtu na heshima yako ukienda pale lazima ukimbie!
 
Kinachoudhi zaidi unakuta vijana wa kiume wanafanana na dada zao.

Wengine wametinda nyusi, scribes za nguvu, kucha wamepaka rangi n.k.

Wengine ukiwaangalia umri umesonga lakini wana-act u-tinagers!!

Kazi ipo!!

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Inakera sana na kusikitisha,
 
[emoji16][emoji16]Jamani dodoma eeeheee
 
Alimla mate Changu???Huyo jama yako nae ni mbugila kweli kweli aisee!
 
""Mlikuwa na jamaa zenu""...ina maana mlikuwa zaidi ya wawili (watatu n.k) mnawezaje kulazimishwa/kubambikiwa bili mkiwa wengi/mnajitambua?!?!?

Wakat wa huo mzozo, wenzenu hawakuja kuongeza support?!?!
 
Ilishanitokea hiyo Kampala siatasahau , nilikokota pisi maeneo ya speke road nikaipeleka Hotel, nilinyonya sana maziwa mwisho wa siku nilikuja kushtuka saa nane mchana ila uzuri ChuMbAN ilikuwa nimelipia zaidi ya siku MOJa
Malaya hanyonywi nyonyo au sehemu za Siri, ukiwa malaya inabidi uwe smart mtajageuzwa na madildo yakiume ooh. Malaya wengi hujipaka madawa kwenye nyonyo zao shtukeni
 
Dodoma kwny sekta ya umalaya ndo kwenyewe
 
Na una kuta jamaa ana wife material nyumbani, Wanaume tuna tabu! Kweli tume umbiwa mateso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…