Kilichotutokea jana Bambalaga - Dodoma

Mwenye bar atakuwa mtu wao au anagawana nao faida si kwamba ajui
 
Crown, Fuga na Brevis zinaanzaje kuwa baby walker ma v6 yalee[emoji45][emoji45] yanataka chakula heavy[emoji23][emoji23]
Ohooo!!! Hivi hujui kuwa vitoto vidogo vinaweza kula kuliko mtu mzima? Utamwita mtu mzima?

Fuga,Crown, Brevis ni baby walker zilizochangamka tu!!!
 
Mwanaume unaogopa mwanaume mwezako eti baunsa.
Siku nyingine tembea na Beto acha uree
 
Ohooo!!! Hivi hujui kuwa vitoto vidogo vinaweza kula kuliko mtu mzima? Utamwita mtu mzima?

Fuga,Crown, Brevis ni baby walker zilizochangamka tu!!!
Utakuwa hujui magari au unajitoa ufahamu tu kwa sababu unazozijua mwenyewe. Ma engine makubwa hayo na hayo magari hayataki mafuta ya vidumu. Tena hizo crown ukikuta ile majesta ina engine ya v8. Ata hyo baby walker unavyo type inaonyesha unailazimisha tu kimoyomoyo unajisemea naandika ujingaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…