Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kiukweli ni aibu Sana kufungwa na vibonde Cape Verde.. yaani ukizingatia tulikuwa kwenye nafasi nzuri.. haya ndo yaliyotucost...
1.ukosefu wa holding middfield..
team ilikosa umiliki wa mpira.. na hivyo team kushindwa kutulia hali iliyochangia Cape Verde kutengeneza mashambulizi ya kushtukiza...wachezaji ambao ni holding midfield wazuri ni kama jonas mkude.. huyu anajua kutuliza presha na team inatulia.. lakini hakuwepo...
2...uwepo wa defensive midfielder wawili...
Kilichoikosti stars. ni uwepo wa viungo wakabaji wawili.. yaani himid mao, na mudathir yahaya.. na pia Simon msuva alicheza kama free role yaani kiungo anayeshuka kuchukua mipira na kuzunguka kwenda winga ya kulia na kushoto...
3..ukosefu wa attacking midfield.. Msuva pekee alishindwa kuifanya team ishambulie.. sababu viungo wenzake himid na mudathir wao kiasili ni viungo wakabaji.. hii ilichangia msuva kushindwa kutengeza mashambulizi.. nafasi kama ile ajibu au kichuya ni wazuri wa kutengeneza mashambulizi...
4..ubutu wa beki ya Kati na ya kushoto... alikosekana beki mwenye sauti na maamuzi ya haraka kama Kelvin yondani.. hii ilisababisha agrey Morris na abdi banda waliocheza Kati Kati kukosa maelewano hasa agrey Morris.. ikabidi David mwantika ambaye alicheza kama holding midfielder.. aingie Kati kumsaidia Morris.. hata hivyo nae baada ya gadiel Michael kupwaya kushoto na kutolewa ikabidi banda acheze kushoto na mwantika acheze na Morris Kati... na pia kapombe acheze Kama holding midfield...
mwisho kabisa tuwape pole stars kwani nafasi ipo japokuwa ni ngumu sana...
"pancho bishoo jeuri "
1.ukosefu wa holding middfield..
team ilikosa umiliki wa mpira.. na hivyo team kushindwa kutulia hali iliyochangia Cape Verde kutengeneza mashambulizi ya kushtukiza...wachezaji ambao ni holding midfield wazuri ni kama jonas mkude.. huyu anajua kutuliza presha na team inatulia.. lakini hakuwepo...
2...uwepo wa defensive midfielder wawili...
Kilichoikosti stars. ni uwepo wa viungo wakabaji wawili.. yaani himid mao, na mudathir yahaya.. na pia Simon msuva alicheza kama free role yaani kiungo anayeshuka kuchukua mipira na kuzunguka kwenda winga ya kulia na kushoto...
3..ukosefu wa attacking midfield.. Msuva pekee alishindwa kuifanya team ishambulie.. sababu viungo wenzake himid na mudathir wao kiasili ni viungo wakabaji.. hii ilichangia msuva kushindwa kutengeza mashambulizi.. nafasi kama ile ajibu au kichuya ni wazuri wa kutengeneza mashambulizi...
4..ubutu wa beki ya Kati na ya kushoto... alikosekana beki mwenye sauti na maamuzi ya haraka kama Kelvin yondani.. hii ilisababisha agrey Morris na abdi banda waliocheza Kati Kati kukosa maelewano hasa agrey Morris.. ikabidi David mwantika ambaye alicheza kama holding midfielder.. aingie Kati kumsaidia Morris.. hata hivyo nae baada ya gadiel Michael kupwaya kushoto na kutolewa ikabidi banda acheze kushoto na mwantika acheze na Morris Kati... na pia kapombe acheze Kama holding midfield...
mwisho kabisa tuwape pole stars kwani nafasi ipo japokuwa ni ngumu sana...
"pancho bishoo jeuri "