Mwanzo kulikuwa na wabia wa3 or more kampuni moja ya Kingereza, South Africa na ya kibongo (Inter Consult) ambayo inamilikiwa na kina Felix Mosha. Sasa sijui mama aliingia kupitia umbrella ipi. Though kama alivyosema PJ kwamba serikali ili repossess shares zato. However when it comes to perfromance is still very poor and I am not sure if the management KNOWS how to make the Airport busy.