Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Akizungumza kwenye mkutano huo, Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa TCD, Freeman Mbowe amewashukuru wakazi wa Himo kwa kuikataa ccm kwa miaka yote.
Ametoa pole kwa wananchi hao kwa kuongozwa na mamluki ambao hawakuwachagua
Hali ilikuwa hivi
Ametoa pole kwa wananchi hao kwa kuongozwa na mamluki ambao hawakuwachagua
Hali ilikuwa hivi