Kilimanjaro: Freeman Mbowe afika Nyumbani kwa RAS aliyefariki kwa ajali ili kuhani Msiba

Kilimanjaro: Freeman Mbowe afika Nyumbani kwa RAS aliyefariki kwa ajali ili kuhani Msiba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni miongoni mwa Watu Wazito waliofika nyumbani kwa Ras wa Kilimanjaro aliyefariki kwa ajali ya gari .

Huyu hapa

Screenshot_2024-06-19-22-07-31-1.png
Screenshot_2024-06-19-22-07-15-1.png
Screenshot_2024-06-19-22-07-04-1.png
---
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefika nyumbani kwa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (56) aliyefariki dunia kwa ajali ya gari kutoa salamu za pole.

Mbowe akiwa ameambatana na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro, wamefika nyumbani hapo jioni ya leo Juni 19, 2024 wakitokea kwenye kikao cha mashauriano ya mkoa, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Umoja Hostel, mjini Moshi.

Tixon na dereva wake, Alphonce Edson (54) walifariki jana Juni 18, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea Njiapanda ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) wakati wakienda kumpokea Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, aliyekuwa anaenda Arusha kikazi.

Baada ya kufika nyumbani hapo, Mbowe amesalimiana na viongozi wa Serikali waliokuwa msibani na kusaini kitabu cha maombolezo, ameingia ndani kutoa pole kwa mke wa marehemu na wafiwa wenginei kisha kuondoka.

PIA SOMA
- TANZIA - Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni miongoni mwa Watu Wazito waliofika nyumbani kwa Ras wa Kilimanjaro aliyefariki kwa ajali ya gari .

Huyu hapa

---
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefika nyumbani kwa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (56) aliyefariki dunia kwa ajali ya gari kutoa salamu za pole.

Mbowe akiwa ameambatana na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro, wamefika nyumbani hapo jioni ya leo Juni 19, 2024 wakitokea kwenye kikao cha mashauriano ya mkoa, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Umoja Hostel, mjini Moshi.

Tixon na dereva wake, Alphonce Edson (54) walifariki jana Juni 18, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea Njiapanda ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) wakati wakienda kumpokea Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, aliyekuwa anaenda Arusha kikazi.

Baada ya kufika nyumbani hapo, Mbowe amesalimiana na viongozi wa Serikali waliokuwa msibani na kusaini kitabu cha maombolezo, ameingia ndani kutoa pole kwa mke wa marehemu na wafiwa wenginei kisha kuondoka.

PIA SOMA
- TANZIA - Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari
Wahuni wanaomgea mikono mifukoni
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ni miongoni mwa Watu Wazito waliofika nyumbani kwa Ras wa Kilimanjaro aliyefariki kwa ajali ya gari .

Huyu hapa

---
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefika nyumbani kwa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (56) aliyefariki dunia kwa ajali ya gari kutoa salamu za pole.

Mbowe akiwa ameambatana na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro, wamefika nyumbani hapo jioni ya leo Juni 19, 2024 wakitokea kwenye kikao cha mashauriano ya mkoa, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Umoja Hostel, mjini Moshi.

Tixon na dereva wake, Alphonce Edson (54) walifariki jana Juni 18, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea Njiapanda ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) wakati wakienda kumpokea Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, aliyekuwa anaenda Arusha kikazi.

Baada ya kufika nyumbani hapo, Mbowe amesalimiana na viongozi wa Serikali waliokuwa msibani na kusaini kitabu cha maombolezo, ameingia ndani kutoa pole kwa mke wa marehemu na wafiwa wenginei kisha kuondoka.

PIA SOMA
- TANZIA - Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari
Huyu mwamba anasubiri nini kufanya mikutano kama Timu Lisu??

Hivi huyu mchaga mpaka alipwe Ruzuku ndo afanye kazi??? Hili ni tatizo
 
Vp wakina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah hawaendi kuhani msiba

Ova
kwahivyo tukahani msiba wetu wenyewe, right?

Taifa chama, na serikali yote sikivu ya CCM popote pale ilipo nchini, iko kwenye majonzi makubwa, na ipo kwenye maombolezo ya kifo cha miongoni mwa watu muhimu sana katika serikali, katika mkoa husika alietangulia mbele ya haki kwa ajali mbaya ya barabarani 🐒

hakuna haja ya makamera wala kuitafuta tension msibani kama wanavyofanya wengineo 🐒

Mwenyezi Mungu Amuweke Mahali Anapostahili mchapakazi RAS, Tixon Nzunda....
R.I.P Bro..🐒
 
kwahivyo tukahani msiba wetu wenyewe, right?

Taifa chama, na serikali yote sikivu ya CCM popote pale ilipo nchini, iko kwenye majonzi makubwa, na ipo kwenye maombolezo ya kifo cha miongoni mwa watu muhimu sana katika serikali, katika mkoa husika alietangulia mbele ya haki kwa ajali mbaya ya barabarani 🐒

hakuna haja ya makamera wala kuitafuta tension msibani kama wanavyofanya wengineo 🐒

Mwenyezi Mungu Amuweke Mahali Anapostahili mchapakazi RAS, Tixon Nzunda....
R.I.P Bro..🐒
Ndiyo uende pia na wewe uka sign daftari

Ova
 
Ndiyo uende pia na wewe uka sign daftari

Ova
nadhani nilipo, lipo daftari pia la maombolezo, na binafsi sina haja kusign ilimradi nimeridhika na ubani niliyo utoa kama ishara ya faraja kwa wafiwa, Lakini pia ni ishara ya kumsendoff muungwana kwenye safari yake ya mwisho hapa duniani..

namshukuru makamu wa Rais, wizara na idara mbalimbali kutuwakilisha vyema chama na serikali sikivu ya CCM 🐒
 
nadhani nilipo, lipo daftari pia la maombolezo, na binafsi sina haja kusign ilimradi nimeridhika na ubani niliyo utoa kama ishara ya faraja kwa wafiwa, Lakini pia ni ishara ya kumsendoff muungwana kwenye safari yake ya mwisho hapa duniani..

namshukuru makamu wa Rais, wizara na idara mbalimbali kutuwakilisha vyema chama na serikali sikivu ya CCM 🐒
Basi yameisha we kwa ligi sikuwezi 😄

Ova
 
Back
Top Bottom