Kilimanjaro ilivyonusurika kuwa nchini Kenya.

Kila nikikumbuka Kilimanjaro ipo Tanzania huwa nasikitika sana
 
Ingekuwaje kama Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Msoma ingekuwa Kenya halafu Mombasa iwe Tanzania.?
Ingekuwa poa sana. Jamaa wangebaki na nchi yao ya kusadikika
 
Mombasa(na ukanda wake wa pwani yote ya Kenya) Hadi kufikia mwaka 1963 ilikuwa no eneo la Zanzibar, kwa maana kulikuwa na Kenya colony /Kenya ya juu na Kenya protectorate (Kenya ya pwani - Amu/Lamu, malindi na Mombasa, hii miji pamoja na visiwa vya Zanzibar vilikiwa ni "protectorate" za kingereza.).
Siku chache kabla ya Uhuru wa Kenya juu/bara /koloni muingereza aliiunganisha na ile ya pwani. Je nini kilipita kati ya muingereza na Sultan wa Zanzibar mpaka waiteme hio ardhi "yao" na kuiwacha kwenda Kenya ❔ je kuna mkataba wowote ule ambao unaeleza haki za raia wa pwani ❔ Maana sasa wanasema Mombasa si Kenya hao MRC (MOMBASA REPUBLICAN COUNCIL).
NAOMBA KUELIMISHWA KUHUSU HISTORIA HII
 
Wai bora tungeachwa tuwe wakenya, tuwaachie linchi lenu la kinafki lililojaa wapiga debe na vigelegele kama mazuzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…