Kilimanjaro International Airport ipo tayari kupokea watalii

The Kilimanjaro International Airport in Tanzania
When it is busy, this is how it is


Source : simply aviation
 
..hili siyo tangazo la utalii, bali ni kutisha watalii.

..kama Tz hakuna covid19, basi viongozi wavue hizo mask na gloves ili kuwahakikishia watalii kuwa life has returned to normal in Tanzania.
Hakuna aliyesema TZ hakuna corona. Linalosemwa ni kwamba kusiwe na hofu ya kupita kiasi ambayo hiyo peke yake inaweza kukufanya uugue na hata kufa kabisa. Zama za ukimwi ulipoanza kuna watu walikonda na kudhoofika sana walipodhania wameukwaa ugonjwa. Vipimo vilipokuja kuonyesha hawana huo ugonjwa miili ikanawili na mpaka sasa bado wanadunda. La muhimu kwa sasa ni kuzingatia maelekezo tupewayo kama kuvaa barakoa, kunawa mara kwa mara, kutosongamana watu wengi, na juu ya yote kusali na kutokuwa na msongo wa mawazo. Hayo yakifanyika hakuna haja ya lockdown. Tuchape kazi kama kawaida mengine tukimwachia Mola.
 
Kwanini wawe na hofu while hata uko kwao ipo yani unazungumza as if wakija tanzania wanakuja kuambukizwa wakati huko kwao ndio imejaa ila wao wameamua kuichukulia poa uwe unasikiliza vyombo vya habari vya kimataifa uone ulaya hali ikoje

..sasa wanavyotuona tumevaa mask unadhani wanavutiwa kuja Tanzania?

..Na taarifa kuwa maabara zetu ni za hovyo kiasi kwamba mafenesi na mbuzi wamepatikana na covid19 unadhani zinawavutia kuja?

..Na zaidi utambue kwamba mabeberu wamefungiwa. Hawana kazi. Wanalishwa na serikali na serikali zao. Hawani uhakika wa ajira na kipato in the near future. Watu wa namna hiyo unadhani watapanga safari za masafa marefu?

..bila VACCINE na uchumi wa mabeberu kuimarika sekta ya utalii itaendelea ku-struggle.
 
May 20, 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Capital Television evening News : Cross-Border mechanism challenges
Cross-border collaboration of health services and public safety is still hampered by legal and administrative barriers and bureaucratic procedures
Source : CapitalTV
 
Acha povu haendi mtu tanzania kuna korona.

Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
 

Nyie mlionyimwa elimu mnatumika sana aiseee,Usichokijua sasa sweden ndio inaongoza kwa vifo na maambukizi kulinganisha na nchi nyingine za Scandnavia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…