commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,956
Kwani Mpoki kashnda kwenye category gani?
Ndio mambo ya demokrasia hayo! Hata mimi cjui ni kwa nini CCM inaendelea kutawala Tz:lol:!
Makosa yalifanyika kumpitisha Mpoki kuwa mshiriki, wakati wimbo wake hauna ujumbe wowote. Waandaaji waangalie sana mambo kama hayo yanaweza poteza maana ya Mashindano.
Wana JF,naomba maoni yenu kuhusu hili. wote wameimba na ku-ghani,aina ya beat ni moja.huyu kaimba "mjomba" mwingine kaimba "shangazi"
*muanzilishi wa tungo alikuwa MPOTO.
*akafuatia MPOKI aka-paste.
Je maamuzi ni sahihi? au ndio ujumbe wa mpoto kwa mjomba umefika na kumponza NAWAKILISHA..........
Wana JF,naomba maoni yenu kuhusu hili. wote wameimba na ku-ghani,aina ya beat ni moja.huyu kaimba "mjomba" mwingine kaimba "shangazi"
*muanzilishi wa tungo alikuwa MPOTO.
*akafuatia MPOKI aka-paste.
Je maamuzi ni sahihi? au ndio ujumbe wa mpoto kwa mjomba umefika na kumponza NAWAKILISHA..........