Kilimanjaro; Maajabu; shule ya Serikali yakutwa na idadi ya wanafunzi 62 tu shule nzima

Kilimanjaro; Maajabu; shule ya Serikali yakutwa na idadi ya wanafunzi 62 tu shule nzima

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Shule ya msingi Mlembea iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ina jumla ya wanafunzi 62 tu shule nzima.

Idadi ya wanafunzi kuanzia la kwanza hadi la saba idadi yao ni 62 pekee. Ambapo darasa la saba lina wanafunzi 6 tu.

Baadhi ya wazazi ambao watoto wao wanasoma shuleni hapo wamesema ya kuwa watoto wao wamekuwa wakishindia uji kikombe kimoja pekee kuanzia asubuhi hadi jioni wanavyotoka shule na siku nyingine hata huo uji haupikwi hivyo kushinda njaa hadi wanapotoka shule.

Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wamesema ni bora shule hiyo ikabadilishwa na kuwa hospitali wananchi wapate huduma ya afya kuliko majengo hayo kutumika bure

Hata hivyo bado haijajulikana sababu haswa ya shule hiyo kuwa na idadi ndogo ya wanafunzi kiasi hicho.
 
Tatizo Bado Linaendelea Chang'aa
Watu Wanasahau Kutoa Huduma Watu Wanakwenda Kenya
 
Shule ya msingi mlembea iliyopo wilaya ya Rombo mkoani kilimanjaro ina jumla ya wanafunzi 62 tu shule nzima.

Idadi ya wanafunzi kuanzia la kwanza hadi la saba idadi yao ni 62 pekee. Ambapo darasa la saba lina wanafunzi 6 tu.

Baadhi ya wazazi ambao watoto wao wanasoma shuleni hapo wamesema ya kuwa watoto wao wamekuwa wakishindia uji kikombe kimoja pekee kuanzia asubuhi hadi jioni wanavyotoka shule na siku nyingine hata huo uji haupikwi hivyo kushinda njaa hadi wanapotoka shule.

Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wamesema ni bora shule hiyo ikabadilishwa na kuwa hospital wananchi wapate huduma ya afya kuliko majengo hayo kutumika bure

Hata hivyo bado haijajulikana sababu haswa ya shule hiyo kuwa na idadi ndogo ya wanafunzi kiasi hicho.
Sio ajabu huo Mkoa watu wameuhama na pia birthrate huko Iko chini kuliko Mikoa yote Tanzania.

Hata Mtwara Kuna shule za hivyo 👇👇
Screenshot_20250226-160938.jpg
 
Ems,,,, pia wachaga wengi naona wameendelea watoto wao wanazaliwa mijini na kusomea huko huko ,,,, nadhani kwa rombo nzima hakuna shule ya msingi yenye watoto zaidi ya 300 ! Hata pia secondary za huko za serikali hazina msongamano mkubwa kama mjini ,,, ! Najaribu kuwaza hivo ! Kwa mzazi unaejielewa na mwenye malengo kayumba sio pakusomesha wanao, mda mwingine kipato kinakusaliti inabidi !
 
Ile
Shule ya msingi Mlembea iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ina jumla ya wanafunzi 62 tu shule nzima.

Idadi ya wanafunzi kuanzia la kwanza hadi la saba idadi yao ni 62 pekee. Ambapo darasa la saba lina wanafunzi 6 tu.

Baadhi ya wazazi ambao watoto wao wanasoma shuleni hapo wamesema ya kuwa watoto wao wamekuwa wakishindia uji kikombe kimoja pekee kuanzia asubuhi hadi jioni wanavyotoka shule na siku nyingine hata huo uji haupikwi hivyo kushinda njaa hadi wanapotoka shule.

Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wamesema ni bora shule hiyo ikabadilishwa na kuwa hospitali wananchi wapate huduma ya afya kuliko majengo hayo kutumika bure

Hata hivyo bado haijajulikana sababu haswa ya shule hiyo kuwa na idadi ndogo ya wanafunzi kiasi hicho.
Iletwe taarifa iliyokamilika kuhusiana na shule hiyo.
Taarifa hii haijitoshelezi
 
Kama ingewezekana utaje na jina lake mana wengi sio wageni sana ukupita road ya rombo vibao vyote vimewekwa barabarani
 
Lakini mbunge wa rombo na waziri wa elimu prof. Ni WA wapi vilee??
 
Hiyo ndo shule sasa, sio wanafunzi wanakuwa over 2000 na wakifail walaumiwe walimu na mshahara wa manyanyaso wanaopewa.

hapo raha sana yaani
 
Shule ya msingi Mlembea iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ina jumla ya wanafunzi 62 tu shule nzima.

Idadi ya wanafunzi kuanzia la kwanza hadi la saba idadi yao ni 62 pekee. Ambapo darasa la saba lina wanafunzi 6 tu.

Baadhi ya wazazi ambao watoto wao wanasoma shuleni hapo wamesema ya kuwa watoto wao wamekuwa wakishindia uji kikombe kimoja pekee kuanzia asubuhi hadi jioni wanavyotoka shule na siku nyingine hata huo uji haupikwi hivyo kushinda njaa hadi wanapotoka shule.

Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wamesema ni bora shule hiyo ikabadilishwa na kuwa hospitali wananchi wapate huduma ya afya kuliko majengo hayo kutumika bure

Hata hivyo bado haijajulikana sababu haswa ya shule hiyo kuwa na idadi ndogo ya wanafunzi kiasi hicho.
Maajabu Kilimanjaro: Force account, yafanya shule mpya kuanguka
 

Attachments

  • millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg
    millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg
    148.8 KB · Views: 2
  • millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg
    millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg
    180.4 KB · Views: 1
chanzo cha taarifa yako? maana mwandishi nadhani ana tatizo ameweza kuhoji akajua wanafunzi wanashindia uji pia amepata maoni kuwa wananchi wanataka shule ibadilishwe matumizi iwe zahanati ila ameshindwa kuhoji kwanini shule ina wanafunzi wachache!!??
 
Back
Top Bottom