Wacha ujinga ww apa mjini kutamu sana foleni unazoeaUlikua Nairobi mwisho lini, hebu njoo mjini halafu ujisahau ufanye yale mazoea yenu ya Dar kutema mate ovyo, kuvuka barabara ukiongea kwa simu, kutupa taka kila mahali... Yaani Dar mjini pachafu sana mvua ikinyesha unaona kinyesi kinaelea kwenye mafuriko, mji unanuka balaa halafu ukiongeza na joto kali hadi unahisi kichefu chefu, omba yasikukute haya kama upo kwenye foleni.
Kuna hata Watanzania wanaofanya kazi mikoani kila wakitumwa Dar kwa shughuli ya siku chache huwa wanaona kama wanaadhibiwa.
Uko sawa...Moshi mzunguko wa hela ni mdogo kwahyo tunazitafuta tukipata tunajenga nyumba msimu wa sikukuu tunarudi na familia zetu kuzungumza na ndio njia pekee yawachaga kukutana....mikoani ndio sehemu sehemu kutaftia fedha mf dar, arusha mwanza na kwengineko...Moshi pasafi sana, halafu wana sheria za Kinairobi Nairobi, kwamba ukipatikana unatupa taka ovyo unakamatwa, halafu askari huwa wameahidiwa kulipwa kwa kila wanayemkamata akichafua mji.
Halafu kijijini wana nyumba nzuri nzuri sana, tatizo wengi hawaishi huko. Na ndio hawa Wachagga unaowaona Nairobi, na kwengineko, wanajenga nyumba nzuri vijijini kwao lakini wanaenda msimu wa Krisimasi tu basi. Kuna wale hulipa jamaa zao kuishi kwenye hizo nyumba.
Sio moshi tu, njoo Dodoma, Morogoro na Iringa pia, miji yenye mvuto na usafi wa hali ya Juu.Moshi pasafi sana, halafu wana sheria za Kinairobi Nairobi, kwamba ukipatikana unatupa taka ovyo unakamatwa, halafu askari huwa wameahidiwa kulipwa kwa kila wanayemkamata akichafua mji.
Halafu kijijini wana nyumba nzuri nzuri sana, tatizo wengi hawaishi huko. Na ndio hawa Wachagga unaowaona Nairobi, na kwengineko, wanajenga nyumba nzuri vijijini kwao lakini wanaenda msimu wa Krisimasi tu basi. Kuna wale hulipa jamaa zao kuishi kwenye hizo nyumba.
Sio moshi tu, njoo Dodoma, Morogoro na Iringa pia, miji yenye mvuto na usafi wa hali ya Juu.
Yan sanaMoshi ni mji mzuri
Niko hapa mkuu hunioni?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Haya ni madongo mepesi unajaribu kutu tupia wana- DSM. Kwahiyo Nairobi ni mji inaongara kama dhahabu. Behu kimbilia google kidogo utafute:Ulikua Nairobi mwisho lini, hebu njoo mjini halafu ujisahau ufanye yale mazoea yenu ya Dar kutema mate ovyo, kuvuka barabara ukiongea kwa simu, kutupa taka kila mahali... Yaani Dar mjini pachafu sana mvua ikinyesha unaona kinyesi kinaelea kwenye mafuriko, mji unanuka balaa halafu ukiongeza na joto kali hadi unahisi kichefu chefu, omba yasikukute haya kama upo kwenye foleni.
Kuna hata Watanzania wanaofanya kazi mikoani kila wakitumwa Dar kwa shughuli ya siku chache huwa wanaona kama wanaadhibiwa.
Hoteli gani hiyo wewe morogoro ulifikia haina maji??Morogoro hamna maji ya bomba. Full matatizo kwenye mahoteli, nimekua pale juzi.
Hoteli gani hiyo wewe morogoro ulifikia haina maji??
But hii idara ya Maji hapa Moro ni jipu lingine.
Kutaja majina humu itakua kuwaharibia biashara, ilhali kosa la ukosefu wa maji mjini sio lao, na nitakua nakiuka kanuni za JF lakini nakwambia kilichonikuta huko. Maji hotelini yanaletwa kwa malori maana mji hauna maji kwenye mabomba.