Kilimanjaro Marathon Results

Top position zote kwa wanaume(1-10) na wanawake 42 kms wote wakenya. Hahaa! 😀 Ndio hizi full provisional results kwenye mbio zote Kili Marathon 2020, hebu mueleze atuoneshe hao watz 1-5. Kilimanjaro Premium Lager Marathon
Safari hii nikama walijikaza upande wa 21km....Joseph Panga and Magdalene Shauri sound Tanzanian to me...42km waliona kiza kinene😀😀
 
Was a little bit disappointed on the prize money.... KShs 180,000 for first place😬😬😬😬....surely!!! Ata crate ya nyanya haiwezi kununua jameni!!!
 
Was a little bit disappointed on the prize money.... KShs 180,000 for first place😬😬😬😬....surely!!! Ata crate ya nyanya haiwezi kununua jameni!!!View attachment 1374989

Hizi mbio watu hawakimbii kufuata pesa, huwa ni kwa ajili ya kuchangisha hela ili kusaidia mambo tofauti ya kijamii, mimi huzikimbia sana kote hata Dar, hii ya juzi ya Kili ilinipita maana nilibanwa, ila marafiki zangu walikuja Tz wote, angalia kwenye website ya Strava uone Wakenya walivyopost humo.
 
Jombaa, watu wanapenda hela za 'bure' hata ziwe ndogo kiasi gani. Isingekuwa hivyo hawangekuwa wanalialia kuhusu wakenya kunyakua hela hizo kila mwaka. Kuna sehemu niliona povu, tena la waziri wa michezo Tz, Dkt. Mwakyembe. Nanukuu, "Haiwezekani, Tanzania tunao
vijana wazuri sana na wenye
uwezo wa kukimbia kwa spidi kama
ya pikipiki, hatuwezi kuendelea
kuwaachia wageni ndio wakawa
wanashika nafasi za kwanza na kuchukua fedha wakati vijana wa
kitanzania miguu mnayo na uwezo
wa kukimbia mkachukua fedha hizi
upo"
[emoji38][emoji38][emoji38] WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
 
Was a little bit disappointed on the prize money.... KShs 180,000 for first place....surely!!!Ata crate ya nyanya haiwezi kununua jameni!!!View attachment 1374989
Kwenye International Marathons k.m. Lagos wakenya wamekuwa wakinyakua $50,000(nafasi ya 1), $30,000(2), 20,000(3) hivyo hivyo hadi nafasi ya 15 na hiyo ni kwa kina dada na wanaume pia. Hadi wanigeria wanasema wakenya wapigwe marufuku. Ukiangalia hata kwenye Kili Marathon wakenya wanachomoka nazo pia, ukizingatia kwamba wanashinda kila mwaka, tena wanafagia nafasi zote. Km. 42km nafasi ya kwanza(4,000,000 Tzsh), 2(2million), 3(1M) kuendelea hadi kumi. Kwa ujumla top 10 wananyakua 10,000,000 Tzsh(7 zinaenda kwa 1,2,3) hiyo ni kwa wanaume tu. Kwenye half marathon top 10 wanaenda na jumla ya 6 million Tzshs kwenye kila kitengo(male&female). 2018 na 2019 pia wakenya walinyakua hela zote 31.5 million Tzsh. 2020, 42km zote, zaidi ya 17 million Tzsh. Half marathon zaidi ya 10million. 😎
 
Hahaha Kilimanjaro Kenya 🇰🇪.... The highest point in Africa. Here is the view from Nairobi CBDView attachment 1038065
Acha urongo, huezi ona hiyo mlima toka Nai, unless you live on a flat earth. Even then you'd need a pair of eagle eyes and several lenses with incredible focal power to see the mountain 200km away.
 
Acha urongo, huezi ona hiyo mlima toka Nai, unless you live on a flat earth. Even then you'd need a pair of eagle eyes and several lenses with incredible focal power to see the mountain 200km away.
Kuwa serious wakati mwingine jombaa, sasa utakosaje kuonekana kutoka Nairobi wakati mlima wenyewe upo Kenya? 😁 Best view pia ya Ml. Kilimanjaro ni kutoka Amboseli National Park, ambayo ipo Kenya pia. Sio siri na ndio maana huwa tunawasisitizia sana kuhusu hilo. 😎 https://www.businessdailyafrica.com...om-Amboseli/1248928-3169750-v0lud6/index.html
 
Kuwa serious wakati mwingine jombaa, sasa utakosaje kuonekana kutoka Nairobi wakati mlima wenyewe upo Kenya? [emoji16] Best view pia ya Ml. Kilimanjaro ipo Amboseli National Park, sio siri na ndio maana huwa tunawasisitizia kuhusu hilo.

Mlima upi huo ambao upo Kenya?
Mount Kenya?
 
Wakenya kwenye mbio mko vizuri tu ila muache kutuibia vitu vyetu.

Juzi napita kwenye mtandao mmoja wa picha za watu wazima nakuta ile video ya Amber Rutty mmeshaitengeneza na kuonekana ni yenu wakati Amber Rutty ni Mtanzania.

Nilishangaa kweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakibisha tutafanya Interview na Amber mwenyewe athibitishe maana wakenya wamezoea sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha urongo, huezi ona hiyo mlima toka Nai, unless you live on a flat earth. Even then you'd need a pair of eagle eyes and several lenses with incredible focal power to see the mountain 200km away.
In Nairobi we have perfect views of the two tallest Mountains in Africa upende usipende.
 
Kesho tutakimbia Beyond Zero ila sijajua suala la Corona limekaa vipi.
 
Nope, hio sio ya 2020...

Safari hii waKE wamedominate 42 km as usual lakini wa TZ wamedominate 21 km..

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kwamba hapa Kenya 21km hukimbiwa na Wakenya wa kawaida, ila wanariadha wote wamekusanyika kwenye 42km
Leo hapa najiandaa kuondoka nikakimbie Beyond Zero 21km ambapo hukimbiwa na watu wa kawada tu.
 
But its the highest point in Africa, we clearly see it on a cloudless day
Acha urongo, huezi ona hiyo mlima toka Nai, unless you live on a flat earth. Even then you'd need a pair of eagle eyes and several lenses with incredible focal power to see the mountain 200km away.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…