The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Anaandika Twaha Mwaipaya kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X
"Kata ya Marangu Mashariki Kijiji cha Lyasongoro Msimamizi wa uchaguzi amewawekea wagombea wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) mapingamizi na kuonyesha kua mapingamizi hayo yameandikwa na wagombea wa CCM. Baada ya wagombea hao kufika ofisi ya mtendaji wagombea wa CCM wamekana kuandika barua hizo."
Pia soma: Makalla: CCM tumeweka mapingamizi, tunaamini haki itatendeka
"Kata ya Marangu Mashariki Kijiji cha Lyasongoro Msimamizi wa uchaguzi amewawekea wagombea wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) mapingamizi na kuonyesha kua mapingamizi hayo yameandikwa na wagombea wa CCM. Baada ya wagombea hao kufika ofisi ya mtendaji wagombea wa CCM wamekana kuandika barua hizo."
Pia soma: Makalla: CCM tumeweka mapingamizi, tunaamini haki itatendeka