M nasema hawa ni kuwapelka lugalo wanachapwa bakora huyo julio unamvua nguo chupi unamchapa waya kama mwendawazimu alafu unawaweka kambi jeshini nakwambia wakikaa awaoni uchi ovyo wanashinda we wakifika hotelini usiku wanashinda na mabibi wamechoka wengine wanakaribia kufa unahisi na jua hili kiuno kitageuka loh
Jamani hivi kweli tunalalamika? uteuzi na maandalizi yalikuwa duni. Kingine TFC walionyesha udhaifu mkubwa kukubali eti Kili isimtumie kocha wa Taifa stars, kwa nini wasiwaulize wa zanzibar serikali ya Tanzania Bara iko wapi? Bara ndo serikali ya Muungano, hivyo ina haki kutumia raslimali zote za muungano, kwanza ndo wachangiaji kwa asilimia 100.
chakushangaza zaid, zimbabwe wanashangiliwa zaid licha ya kuwa ugenini, hii inaonyesha ni jinsi gani watanzania wamekua na hasira na uwozo wa nchi hii. hali inatisha.
Hehe jana nimesikia beki wa kulia Geofray Taita kakutwa na Malaya akijisevia chumbani mwake.....nasikia kafukuzwa kambini.....duh hawa ndio wachezaji wa tanzania bara bana...