Kilimanjaro Stars vs Uganda (The Cranes) - Nusu Fainali CECAFA Challenge Cup

Kilimanjaro Stars vs Uganda (The Cranes) - Nusu Fainali CECAFA Challenge Cup

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Jamani, wengine tuko huku mashenzini leo... hakuna cha radio wala TV na leo kuna hii "crunch" game ya Tanzania Bara na Uganda semifinal ya CECAFA Challenge Cup.

Hivyo tunaomba wenye access ya kujua kinachoendelea wawe wanatupa updates kupitia hapa jamvini.

Mubarikiwe!!!
 
labda kuna thread nyengine wanaleta habari,,, hata mimi nna hamu ya kujua kinachoendelea
 
Mpira ni mpaka saa 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Sasa ni mechi kati ya Ivory Coast vs Ethiopia, kipindi cha pili matokeo bado suluhu (0-0).
 
Mpira ni mpaka saa 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Sasa ni mechi kati ya Ivory Coast vs Ethiopia, kipindi cha pili matokeo bado suluhu (0-0).

Asante mwanamichezo endelea kutujuvya matokeo tuko mbali na habari
 
Back
Top Bottom